Aisee nimekutana na mdada hapa shoppers plaza kwenye ATM hilo dera kama kanga yani unaona kbs mpk chu.pi.
Hivi siku hizi hamna magagulo?
Yako very transparent...yaani yana akisi yote yaliyomo ndani.
Lakini nimegundua kabisa madera haya yayoakkisi mnayavaa makusudi kabisa na mnatembea nayo mtaani.
Pia nimefahmu siku hizi hamvai underskirts...wala tight ambazo atleast ziyashikilie makalio yasichezecheze.
Sasa swali.
Hivi kwanini mnatufanyia hivi ....!?? Mnatutaka nini.!?
Na vi chupi hivi mnavyovaa siku hizi ni kama kamba...yani unaona kila kitu.
Kwakweli hili lijadiliwe hapa.
Nia yenu ni nini hasa!??
unaweza piga bao kabisa...Hapo akitembea ni mithili ya paka waliofungiwa ndani gunia salsa wanataka kutoka, purukushani hadI raha
Ewaaaaaaa ubarikiweMkuu unapoanzisha nyuzi kama hizi usisahau mifano thabiti..
#AFCON2020
#Subirieni zan yenuView attachment 1051939View attachment 1051940View attachment 1051941
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni kuwapelekea moto tu maana hakuna namna aiseeKwenye nyumba za kupanga ndio mavazi yao sijui ndio mikataba ya wenye nyumba inaelekeza ivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha magumu mdauYako very transparent...yaani yana akisi yote yaliyomo ndani.
Lakini nimegundua kabisa madera haya yayoakkisi mnayavaa makusudi kabisa na mnatembea nayo mtaani.
Pia nimefahmu siku hizi hamvai underskirts...wala tight ambazo atleast ziyashikilie makalio yasichezecheze.
Sasa swali.
Hivi kwanini mnatufanyia hivi ....!?? Mnatutaka nini.!?
Na vi chupi hivi mnavyovaa siku hizi ni kama kamba...yani unaona kila kitu.
Kwakweli hili lijadiliwe hapa.
Nia yenu ni nini hasa!??
SidhaniAmbao hatuvaagi madela nahisi Mada haituhusu
Ngoja wavaa madela waje wajitetee
Nasisi pia tutawajaribu tu ili ngoma iwe drooPoleni na majaribu ya mjini