JF ImeingiliwaKuna lijanamke nilikutana nalo, Bovu bovu na liko aged sio kidogo ila haliwahi kuolewa na wala halina mtoto still lipo home kwao. Bac likaanza kunipa masharti na virungu juu mara leo nataka dila kesho nataka viatu. Nilicho kifanya ni kuligegedua na kulibrock. Ctaki hata kuona namba ngeni najua ni lenyewe tu=======>
How is monile for every body: Leo nmeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka mashart lukuki tena magumu.
Mara nataka mwanaume handsome,mcha Mungu, mwenye elim ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.
Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je ww ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumban?
Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumban na huna mume maana yake tabia yako ni chafu hauna hadhi ya kuitwa mama mwenye nyumba au mke wa flan ila hadhi yako ni funuliwa funikwa. Unataka mwanaume handsome ww ni handsome?
Kitendo cha ww kuzeekea nyumban maana yake ww ni mbaya huna mvuto wa sura wala tabia ila utakuwa wa kumalizia haja tu kwa wapita njia.
Wazuri wote wapo kwenye ndoa zao. Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake et nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu ww umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?
Mm nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.
KWAHERINI
Teh teh teh teh JIWE GIZANI ukisikia YALAAAA ujue tayari. Ngoja waje ma DESPERATE WIVES
Ila twende mbele turudi nyuma Ndoa ina furaha yake tena hasa pale unapoitwa Baba/Mama fulani ukiwa kwenye ndoa! Kikubwa ni kupata bahati tu ya kuolewa lkn sio SIZITAKI MBICHI HIZI
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
pole sana, Mungu ni mwaminifu, mtoa mada nazani hana dada wala ndugu wa kike, hana hisia za kujali wanawake, ila usijali, malipo ni hapa hapa duniani, ombea mema wanaokuudhi. Mwanadamu hata akikuonaje cha msingi ukumbuke wewe ni wa thamani machoni kwa Mungu. Pole kwa majeraha.
Kuna maisha mazuri na matamu kuliko hiyo ndoa mfyuuuuuuuuu...... eti kisa na miaka 30 ndiyo nichukue makapi nani kasema lazima ukidhi vigezo na mashart nyooooooo..... 30 mtuache eti ndoa ... ndoa zenyewe mnaziweza peleka huko pumbafu kabisa
heheheeee! miss chagga hapa jiwe jiwe gizan limetua utosin kwako mbona povu hivyo?
Punguza mashart kudadeki upate ndoa.
Mwanamke unamasharti kama mkataba wa freemason
Kuna my bro aliambiwa bdo hajafikia vigezo ki1 wapo kilikuw mkwanja bt mungu si Mgiriki akampata mwingne ambaye ni ndugu wa huyo wa kwanz and aftr a year na nusu ndoa ikafuata and mpaka nw lyk miaka minne imepita yule wa kwanza bado anasugua gaga nyumbani nov anagonga 32..
hapana mkuu sema neno moja tu
Ha ha ha ha vigezo na masharti kuzingatiwa hata niwe kibibi ukiona unataka niwe mwenzio lazima ukidhi vigezo