Akina Dada hii inawahusu...

Akina Dada hii inawahusu...

weeeeeee........ Mi nimeimba tu ujuee!

Halafu mnajijua kuwa na nyie mko kama vioo????
Nyie si ndo mnatupa vichwa kwa kutusifia mara ooh, umzuri mara umependeza..... kumbe mna lenu jambo!

Ukiona mwanaume analiaaaa ujue kunajambooooo.....!!

Ukipewa kichwa usikitumie kichwaa kichwa...
 
nyie si mnalewa sifa?!...........tuendeleee hvyohvyo tutafka tu. Wenye kujaa matumbo watajaa, wenye kuachwa wataachwa na wenye kulia watalia ili mradi tufike tu

basi mtuachage kutusemasema mtafikiri nyie mnajiangaliaga kwenye ndoo ya maji wakati twaazimana vioo...... Tuendelee kulizana na wenye kutulia watatulia
 
uwiiiiiiii..kumbe na nyinyi mnalia nilijua peke yetu...wanaume ndo mnaotufanya tuwe na moyo wa chuma na kuona wote ni walewale hakuna wa afadhali.kumjua mwenye mapenzi ya kweli ni kazi kwani wengi ni walaghai....boro iwe ngoma droo.....
 
ukisikia paaa!! ujue yamekukuta!

wanaume tumeumbwa na weakness.. the strongest man on earth, mwanaume aliyekuwa na nguvu za mwili na kiroho...

samson, alidondoshwa na mwanamke!

iweje wewe leo hii? acha kudanganya umma bana!

Nkuhanchere bhuseri... Dogo kalizwa tayari lolest!!!
 
Bora sie wazee wa enzi hizo tulikuwa tanabeba vigori, siku ya ndoa lazima watu watafurahi tu maana inatandikwa shuka jeupi hapo lazima liloe damu na isipotoka ndoa imeishia hapo..
Sasa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa upande kiumeni wanaibiwa tuuu.. naona siku hizi mambo yamekaa kibiashara zaidi ona kama mtoa mada yaonyesha kaumia sana lakini kumbe hakushtuka kuwa uwekezaji wake ulikuwa mdogo. More funds needed my friend.
 
basi mtuachage kutusemasema mtafikiri nyie mnajiangaliaga kwenye ndoo ya maji wakati twaazimana vioo...... Tuendelee kulizana na wenye kutulia watatulia
Tofauti yetu kwenye suala la vioo ni kwamba nyie vinawadanganya, sisi gavitudanganyi..
 
Tofauti yetu kwenye suala la vioo ni kwamba nyie vinawadanganya, sisi gavitudanganyi..

vinatudanganya kiajeee? Sema matumizi ni tofauti nyie mnaangalia kichwa kama nywele ziko fiti sie twaangalia mwili mzima kama tumetokelezeaaa
 
ukisikia paaa!! ujue yamekukuta!

wanaume tumeumbwa na weakness.. the strongest man on earth, mwanaume aliyekuwa na nguvu za mwili na kiroho...

samson, alidondoshwa na mwanamke!

iweje wewe leo hii? acha kudanganya umma bana!
Hahaha...kwaio naruhusiwa kukuumiza sio?
 
Bora sie wazee wa enzi hizo tulikuwa tanabeba vigori, siku ya ndoa lazima watu watafurahi tu maana inatandikwa shuka jeupi hapo lazima liloe damu na isipotoka ndoa imeishia hapo..
Sasa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa upande kiumeni wanaibiwa tuuu.. naona siku hizi mambo yamekaa kibiashara zaidi ona kama mtoa mada yaonyesha kaumia sana lakini kumbe hakushtuka kuwa uwekezaji wake ulikuwa mdogo. More funds needed my friend.

Kwel mkuu...Mapenzi Ulaya...Afrika Biashara
 
uwiiiiiiii..kumbe na nyinyi mnalia nilijua peke yetu...wanaume ndo mnaotufanya tuwe na moyo wa chuma na kuona wote ni walewale hakuna wa afadhali.kumjua mwenye mapenzi ya kweli ni kazi kwani wengi ni walaghai....boro iwe ngoma droo.....

Du na wew ni mlaghai????
 
Na wew yamekukuta?
....mi nilikuta msg hii "ukija utafikia hotel gani my? na je utaniunganisha na whats up mpnz?

kwanza nilifreez...maamuzi niliyoyafanya ni siri yangu kwakua huwa sina tabia ya kudought uamuzi wangu!
 
....mi nilikuta msg hii "ukija utafikia hotel gani my? na je utaniunganisha na whats up mpnz?

kwanza nilifreez...maamuzi niliyoyafanya ni siri yangu kwakua huwa sina tabia ya kudought uamuzi wangu!

Utamuunganisha na watsap hii nnayoijua ama??ukafanya uamuzi gani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom