Akina Dada hii inawahusu...

Akina Dada hii inawahusu...

vinatudanganya kiajeee? Sema matumizi ni tofauti nyie mnaangalia kichwa kama nywele ziko fiti sie twaangalia mwili mzima kama tumetokelezeaaa

lakin pamoja na kujiangalia bado hamridhiki mnataka mpaka msifiwe na mwanaume ndio mnaona raaaaaaha mnachekeleaaaaa................. Hamjui kuwa njemba inataka kuloweka tu na kusepa kumbe sifa zote ni za uwongo hamna lolote!
 
....mi nilikuta msg hii "ukija utafikia hotel gani my? na je utaniunganisha na whats up mpnz?

kwanza nilifreez...maamuzi niliyoyafanya ni siri yangu kwakua huwa sina tabia ya kudought uamuzi wangu!

Kumuamin mwanamke ni sawa na kuchambulia mchele gizan
 
Mpaka unaandika hii thread manake huyo mwanamke kakutetemesha na kukusumbua sana na akili zote ulizokuwa nazo! Pole ndugu yangu!
 
Ndio maana wanawake warembo sana wengi (sio wote) hawaolewi, wakiolewa hawadumu kwenye ndoa
 
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na
mrembo,usidhani utatetemesha kila
Mwanaume,kuna wanaume na akili
zao kichwani,urembo wako
hauwasumbui,kama bichwa lako ni
kanyaboya,uzuri wako hausaidii
kitu,na utashangaa no one is paying
attention,watu utakaowapata ni
walewale kanyaboya wenzako,na
hawana futuretabaki unaliwa bure
kila siku unatoa macho.
Ukipata mwanaume anakupenda
unaanza drama zako na kupiga watu
danadana,madai yako hujali na
unadhani hata akiondoka utapata
mwingine kisa wewe ni mzuri,la
hasha! Mwanaume akijitoa mhanga
kukupenda kwa uzuri wako
mheshimu,maana viumbe wa kike
wakiwa wazuri ni shida na matatizo
hakuna mtu anataka,sasa
ukimwongezea na drama pamoja na
yeye kujigeuza mpalestina kwako
utajikuta umeolewa na kioo cha
chumbani kwako,maana hicho ndo
kinakudanganya sana kwamba we ni
mrembo,Watch out,drama zina
mwisho,leo unacheza na mioyo ya
watu unajiona we kifaa,usidhani
wanaume hawaumii,tunaumia sema
hatusemi tu,machozi yetu kama ya
samaki,tunalia ndani kwa ndani

Dogo umepatwa na nini? Japo sisi wanaume ndiyo mabingwa wa kucheza na mioyo ya wadada. Jiulize uliisha chezea mioyo ya wadada wangapi ?
 
Nkuhanchere bhuseri... Dogo kalizwa tayari lolest!!!

Jamani nimekumiss sana charming... !

enjoy enjoy basi haka ka wimbo!

personally.. pasono personally... i like you buddy.. i see you what you do when intentionally!!

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom