brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
uamuzi ni siri yangu.....!
Aaaah...ni pm basi kama anashindwa kusema apa...nataka tu nijue iliishiaje
uamuzi ni siri yangu.....!
Hapo kwenye kutokelezea ndo mnapodanganywavinatudanganya kiajeee? Sema matumizi ni tofauti nyie mnaangalia kichwa kama nywele ziko fiti sie twaangalia mwili mzima kama tumetokelezeaaa
Kwangu mim nimetulia mbona
vinatudanganya kiajeee? Sema matumizi ni tofauti nyie mnaangalia kichwa kama nywele ziko fiti sie twaangalia mwili mzima kama tumetokelezeaaa
....mi nilikuta msg hii "ukija utafikia hotel gani my? na je utaniunganisha na whats up mpnz?
kwanza nilifreez...maamuzi niliyoyafanya ni siri yangu kwakua huwa sina tabia ya kudought uamuzi wangu!
Tatizo sio wewe tatizo aliyekutangulia ndio kakuharibia
Wanaume mmeumbwa matesooo, mateso........ Kuhangaikaa!!!!!!!!
sio mimi nimuunganishe na whats up bali huyo jamaa yake akija! ni whats up hi hii unayoijua wewe!
ndo manakeKana kwamba wew umeshndwa kumuunganisha????
nilitaka kumuuliza same questionumelizwa nini dogo?
Ndio maana wanawake warembo sana wengi (sio wote) hawaolewi, wakiolewa hawadumu kwenye ndoa
Mpaka unaandika hii thread manake huyo mwanamke kakutetemesha na kukusumbua sana na akili zote ulizokuwa nazo! Pole ndugu yangu!
Mimba tu ndo kiboko yao!
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na
mrembo,usidhani utatetemesha kila
Mwanaume,kuna wanaume na akili
zao kichwani,urembo wako
hauwasumbui,kama bichwa lako ni
kanyaboya,uzuri wako hausaidii
kitu,na utashangaa no one is paying
attention,watu utakaowapata ni
walewale kanyaboya wenzako,na
hawana futuretabaki unaliwa bure
kila siku unatoa macho.
Ukipata mwanaume anakupenda
unaanza drama zako na kupiga watu
danadana,madai yako hujali na
unadhani hata akiondoka utapata
mwingine kisa wewe ni mzuri,la
hasha! Mwanaume akijitoa mhanga
kukupenda kwa uzuri wako
mheshimu,maana viumbe wa kike
wakiwa wazuri ni shida na matatizo
hakuna mtu anataka,sasa
ukimwongezea na drama pamoja na
yeye kujigeuza mpalestina kwako
utajikuta umeolewa na kioo cha
chumbani kwako,maana hicho ndo
kinakudanganya sana kwamba we ni
mrembo,Watch out,drama zina
mwisho,leo unacheza na mioyo ya
watu unajiona we kifaa,usidhani
wanaume hawaumii,tunaumia sema
hatusemi tu,machozi yetu kama ya
samaki,tunalia ndani kwa ndani
Hahaha...kwaio naruhusiwa kukuumiza sio?