Akina Dada hii inawahusu...

Akina Dada hii inawahusu...

We ishia hapo hapo.... Mateso halisi, na si mateso ya kifalafala....

Vioo vimeumbwa kuwadanganya... Na ndo maana huwa hamuishi kushanga mbona biti fulani hatulii kazi kubadilisha wanuame tu..??? Kumbe vioo vinafanya kazi yake

Km wao vioo vinawasumbua kazi kubadili ndume na nyinyi?...ww unajua mwenzio anajipoozea hapo na ww unaenda kutongoza! !..kwa nini usimuachie mwenzio? Sasa nyinyi ndo mabilisi wenyewe haswaaa!
 
Vizuri vina gharama na mojawapo ni kulizwa kama hivyo..........
 
ukisikia paaa!! ujue yamekukuta!

wanaume tumeumbwa na weakness.. the strongest man on earth, mwanaume aliyekuwa na nguvu za mwili na kiroho...

samson, alidondoshwa na mwanamke!

iweje wewe leo hii? acha kudanganya umma bana!

Kuna mwanafalsafa mmoja alisema "An intelligent man is one who has find something more interesting than sex"
 
Km wao vioo vinawasumbua kazi kubadili ndume na nyinyi?...ww unajua mwenzio anajipoozea hapo na ww unaenda kutongoza! !..kwa nini usimuachie mwenzio? Sasa nyinyi ndo mabilisi wenyewe haswaaa!

Ss unakuta ukimendea anakwmbia yupo single mpk uje ushtukie ni paref sanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom