Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Elewa sivai nusu uchi please!!! Tabia ya mtu sio mavaziSawa ,, ila binafsi sitokuja kumtongaza mwanamke anayevaa nusu uchi.
Vaa pendeza ,,hata km ni occasions Basi isikufanye ukawa gumzo lamwaka ...utamtia aibu mtu wako.unless naye awe anamaisha yakisanii km we yaan anavaa elen ,,suruali chini yamatako n.k ndo mnawezana .
Ila ukweli nihuu ndege wafananao ndo huruka pamoja.
Sasa hapoo kakashifuu au ametoa kama kafundixhpoo kuhusuu mavaz kwa wanawakeeHivi hakuna vingine mtakavyoandika zaidi ya kukashifu jinsia KE?
Ninyi mbona mna mapungufu mnoo lakini?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
duuuh umetisha mkuuHv bado kuna mambo za kuoana..
Mm najua Eat and Run/Dump
Najua huvai nusu uchi ,,ila sasa hii ni malumbano yahoja ..Elewa sivai nusu uchi please!!! Tabia ya mtu sio mavazi
Kuna nguo fupi zingine ukivaa hauwezi kuonekana kama una tabia mbaya......so inategemea na huyo mtu ameamua kukuchukuliajeNajua huvai nusu uchi ,,ila sasa hii ni malumbano yahoja ..
Wewe unasema mavazi sio tabia .
Mimi nasema mavazi kiasi fulan humuongezea mtu bargaining position .
Imagine mpo wawili , we umevaa nusu uchi lkn unatabia nzur alafu mwenzako kavaa kiheshima lkn anatabia mbaya ....kisha mkapelekw kukutanishwa na mwanamme mgeni asowajua ,,, unahisi ninan atajiuza tu mwenyewe pasipo kuongea ????
Kizuri hujiuza nakibaya mpaka kijielezee " oohhhh usione mie mavazi tuuu lkn ninatabia nzuri "" sasa hii ningumu kwamwanamme kuelewa .
LABDA NIKUTHIBITISHIE ,,PRIMARY INSTA ATTRACTION YA MWANAMME KWA MWANAMKE HUWA NI MWONEKANO WA MWANAMKE KWANZA MENGINE NDO HUFUATA. UNLESS UNAVAA VIBAYA LKN ANAKUJUA TOKA ZAMAN KUA HUNA TABIA MBAYA
Mmmmhhhhhhh mbn km umepaniki hapa co ujumbe ninaima umefika mahala pakeeeeeeeeeeessessKama mavazi sio heshima tembea na chupi mbele ya baba yako!!!!!!!!!!!!!
UJINGA AUJAWIHI KUWA NA UTETEZI
Hapa sawa ,, namm nilikua napinga nguo mapaja nusu nje .Kuna nguo fupi zingine ukivaa hauwezi kuonekana kama una tabia mbaya......so inategemea na huyo mtu ameamua kukuchukuliaje
Mapaja nusu nje hapanaHapa sawa ,, namm nilikua napinga nguo mapaja nusu nje .
NgoziYani wewe unachekesha sana mimi naandika huku nimerelax nakuacha uongee tu.......onyesha wapi nimesema chupi ni vazi la kutembea nalo barabarani!!! Kama wewe mwafrika kweli ungevaa ngozi utembee nazo barabarani......acha kujisifia kwa kitu usichokijua
Yeye si mwafrika avae ngozi sasa atembee nayo barabaraniNgozi
duuuh umetisha mkuu
mambo zako lakini? acha kudanganya watu wakati una mpango wa kuoa
hahahahahah bhana mahari umeshindwa tu wewe acha longo longoMambo poa bibie, sasa nitaoa nani wakati ulinikataa..
hahahahahah bhana mahari umeshindwa tu wewe acha longo longo
hahahahahahah Mondray,Kwani onazidi laki mbili?
hahahahahahah Mondray,
I salute you naona umenichoka lol, laki mbili za pipi siku hizi
teh teh
but you made my day
kuliko laki mbili nichukue tu bure aiseee,Hahaaaaa hiyo pipi ya laki mbi inalingana na Komo la mkulu?
Kwani ww wataka mahali Sh ngap