Akili za wanawake...

Akili za wanawake...

Makau Js

Member
Joined
May 25, 2017
Posts
93
Reaction score
233
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.

Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.

Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.

Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!

Sent using jamii forums mobile app
 
So una ushauri gani? Au wavae magunia......wanaume wengine bhana mnashangaza sana kwani umeambiwa mavazi ndo tabia ya mtu......kila mtu anavaa kile anachokipenda period

Kuna rafiki yangu ni mpole,mstaarabu,anavaa kiheshima sijawahi ona ila mpaka leo hajaolewa na kaishia kuzalishwa.....kama ndoa ipo ipo tu haina haja ya kupretend kuvaa kiheshima kisa uolewe lol
 
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia
moja tu, KUKUMEGA, KUKUCHAPA, na KUKUSHIKISHA ADABU KITANDANI, na Sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume SIRIAZ anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye SIRIAZ. Mwanamke anayeweza kuacha nje MALI ambazo ni FAHARI ya mumewe zionwe na kila Mwanaume. Nionyeshe Mwanamke mwenye tabia hizi za Hovyo aliyeolewa na Mwanaume Serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe Pete yake lazima awe na uhakika Level ya Ujinga kwenye akili yako ni Ziro maana anaoa KIONGOZI WA FAMILIA na sio Muuza mwili.
SHKAMOONI WOTE MNAO-BOOST NYONYO NA KUBANA KALIO, Kumegwa na kuachwa kwako ni GUARANTEE... Hatuoi Ujinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umerusha jiwe gizani ngoja usiki kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi wavulana wa mikoani acheni kutuletea frustration zenu, hayo mambo yanatamalaki huko huko mikoani, sisi tunaowaoa ni ma girl friends zetu, tumesoma nao, tunawajua ata wakivaa chupi na bra peke yake tunajua huwezi kuwabandua, lazima uwe umeoga kwanza maji ya ruvu na kupaka deodorant. Acheni mambo ya kishamba, waacheni akina mama wapumue.
 
So una ushauri gani? Au wavae magunia......wanaume wengine bhana mnashangaza sana kwani umeambiwa mavazi ndo tabia ya mtu......kila mtu anavaa kile anachokipenda period

Kuna rafiki yangu ni mpole,mstaarabu,anavaa kiheshima sijawahi ona ila mpaka leo hajaolewa na kaishia kuzalishwa.....kama ndoa ipo ipo tu haina haja ya kupretend kuvaa kiheshima kisa uolewe lol
Kama mavazi sio heshima tembea na chupi mbele ya baba yako!!!!!!!!!!!!!
UJINGA AUJAWIHI KUWA NA UTETEZI
 
UNAPO SEMA MAVAZI SIO TABIA UNA MAANA GANI HATA CHUPI SI VAZI VAA BASI MBELE YA BABA YAKO,SISI NI WAAFRIKA ATUTAACHA KUSHAURI MAVAZI YENYE HESHIMA,POLE SANA MAANA NAONA UMEANZA KUJAA UPEPO
Yani wewe unachekesha sana mimi naandika huku nimerelax nakuacha uongee tu.......onyesha wapi nimesema chupi ni vazi la kutembea nalo barabarani!!! Kama wewe mwafrika kweli ungevaa ngozi utembee nazo barabarani......acha kujisifia kwa kitu usichokijua
 
Yani wewe unachekesha sana mimi naandika huku nimerelax nakuacha uongee tu.......onyesha wapi nimesema chupi ni vazi la kutembea nalo barabarani!!! Kama wewe mwafrika kweli ungevaa ngozi utembee nazo barabarani......acha kujisifia kwa kitu usichokijua
Naomba nikutakie siku njema dada
 
Mkuu, [HASHTAG]#MakauJs[/HASHTAG],

Kweli kabisa, hatuoi ujinga.

Nimecheka sana leo, eti hatuoi ujinga!!!
 
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia
moja tu, KUKUMEGA, KUKUCHAPA, na KUKUSHIKISHA ADABU KITANDANI, na Sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume SIRIAZ anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye SIRIAZ. Mwanamke anayeweza kuacha nje MALI ambazo ni FAHARI ya mumewe zionwe na kila Mwanaume. Nionyeshe Mwanamke mwenye tabia hizi za Hovyo aliyeolewa na Mwanaume Serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe Pete yake lazima awe na uhakika Level ya Ujinga kwenye akili yako ni Ziro maana anaoa KIONGOZI WA FAMILIA na sio Muuza mwili.
SHKAMOONI WOTE MNAO-BOOST NYONYO NA KUBANA KALIO, Kumegwa na kuachwa kwako ni GUARANTEE... Hatuoi Ujinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom