Hakumpa talaka wala hakumpa adhabu yoyote kwa sababu mama alijisikia vibaya mno baada ya kufahamu ukweli, na hasa baada ya mzee kuachishwa kazi. Bahati nzuri mzee alikuwa na biashara fulani ambayo alikuwa anafanya part time akaanza kuifanya full time na alifanikiwa mno, akaweza kujenga nyumba nyingine enzi hizo kwa hiyo biashara na mambo yakawa mazuri zaidi. Baada ya hapo akawa anajutia kupoteza muda kwenye kuajiriwa.