Akili za vijana zinazidi kuteketea

Akili za vijana zinazidi kuteketea

Kwa kijana ukicheza na maisha sasa maana yake unacheza na future yako
Future tena? kuna mtu hupanga future yake hapa duniani? mbona kama kuna maneno watu wanatumia kwa mazoea.

Future ni nini na ni lini? mwanadamu anajua maisha yake ya leo tu,na haya maisha ya leo hayana uhusiano na kesho yake.Ingekuwa mwanadamu anaweza kupanga hiyo future leo hii tusingekuwa katika madaraja tuliyopo sasa.

Acha vijana watumie mda kufanya kile ambacho wanafanya(kikubwa kusiwepo na majuto huko mbeleni)
 
watakuambia ndiyo uanaume (urijali) huo
mda unaenda haurudi nyuma kamwe
Experience makes a person better or bitter

Kuna wengine wanaandika hizi nyuzi kwa sababu ya uzoefu kuna vitu wamejifunza kwenye maisha wanaona bora kushare na wengine

Inasikitisha kuona wengi hawapendi kuambiwa ukweli. Rafiki wa kweli ni yule aliye tayari kukukosoa na kukuambia ukweli
 
Vijana wanawekeza sana pesa zao kwenye mademu na anasa vitu ambavyo havina return on investment

Ila muda ni mwalimu mzuri sana

Life lesson we learn too late; Time passes much more quickly than you realize
ni kweli kabisa maana kimsingi mambo yanabadilika sana, taswira ya miaka 15 iliyopita ni tofauti kabisa na sasa hivi.

maandalizi ya kesho nzuri kwa maisha ya sasa yanaweza chukua muda mwingi sana, kwasababu ya mabadiliko ya uchumi ya mwaka baada ya mwaka, lakini watu wanazidi kupoteza nyakati kwa mambo yanayowarudisha nyuma badala ya kuwasogeza mbele.
 
Maisha siyo rahisi kama vile unavyofikiria na unavyowaza.
Ishi yale unayoweza kuishi mengine yaache kama yalivyo. Serikali yako yenyewe tangu mwaka 1961 mpaka 2023 lakini kuna vijijini imeshindwa hata kujenga barabara
maisha pia hayapo kama vile unavyofikiria, endelea kupoteza muda.

ulipokuwa unasoma secondary uliamini ili ufaulu lazima usome kwa bidii na uachane na mambo ambayo yanakukosesha muda wa kuconcentrate kusoma, target hapo ni kufaulu.

principle ni ile ile ili ufanikiwe kimaisha lazima upambane haswa, yaan uzingatie kanuni za utafutaji pesa na uwekaji akiba kwaajili ya maendeleo ya baadae(economic management), hapo utaachana na vitu vinavyokufilisi na kudeal na vitu vinavyokuingizia pesa.
 
Tutakuwa na wazee masikini sana miaka ijayo vijana hawataki kufanya serving kidogo anachopata wao wanaona bora pombe na mademu japo maisha ni hard kuyawini ccm inazidi kutengeneza kundi kubwa la wanyonge ili iendelee kutawala milele
Tutakuwa na wazee masikini sana miaka ijayo vijana hawataki kufanya serving.
 
Achana kabisa na hizi mambo za kuhudumia. Epuka sana manzi anayekugeuza wewe ndio kama baba yake au sponsor wake

Utakuta kijana ana mademu watatu na wote anahudumia unafikiri ni pesa kadiri gani anapoteza. Kwa nini uumgharamie mwanamke ambaye hauna future naye?

Kama kijana bado unajitafuta piga tu hit and run au nunua malaya wale wasafi ujilie usepe au uwe unamega kisela
nakazia mkuu
 
Future tena? kuna mtu hupanga future yake hapa duniani? mbona kama kuna maneno watu wanatumia kwa mazoea.

Future ni nini na ni lini? mwanadamu anajua maisha yake ya leo tu,na haya maisha ya leo hayana uhusiano na kesho yake.Ingekuwa mwanadamu anaweza kupanga hiyo future leo hii tusingekuwa katika madaraja tuliyopo sasa.

Acha vijana watumie mda kufanya kile ambacho wanafanya(kikubwa kusiwepo na majuto huko mbeleni)
[emoji23][emoji23] hii dunia ina watu.
 
Back
Top Bottom