Akili za vijana zinazidi kuteketea

Akili za vijana zinazidi kuteketea

PITIA HAPA
2 Timotheo 3:1-5

"
Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao."
mwenye macho haambiwi ona
 
Fact
Vijana sasa hivi wimbo wa taifa ni ngono, Ngono imekuwa na mvuto kiasi kwamba inatawala kila kitu. Naizungumzia ngono isiyo rasmi maana tusichanganye hapa, nazungumzia uasherati na uzinzi na wala siyo tendo la ndoa, nafikir nimeeleweka.

Nimezungumzia vijana lakini hasa nalenga jinsia me, jinsia ke hawa downfall yao inatokana na madhaifu yao, wanadanganywa sana. Hawashtuki na kesi za singo maza ndo zinazidi kuwa nyingi.

Anyway kwenye hii kitu ngono sasa....

kwenye hii kitu kwa sasa ni kama dimbwi la matope yenye kina kirefu ambacho vijana sasa ni kama tumebakiza kichwa ili iwe ndo kwisha habari yetu. Tukigawa hali za kimaisha kuna wale wa daraja la katikati(maana walio wengi tunaanzia hapa) hawa unakuta familia ina foundation, yaani baba alipambana akiwa kijana, ili kesho ya kizazi chake iwe brightest(but what wonder the most, it ended different)

Na kuna hawa wakina sisi wa daraja la chini ambao wazee wetu walifeli kwa namna mbalimbali ikiwemo either waliona shule ni kama kinyesi, kuendekeza ngono au kuchezea shilingi chooni, hawa mara nyingi hupanda mbegu penye miiba, miamba na pende madimbwi, mahala ambapo hapawezi kuotesha mazao. Ni mara chache sana mbegu huangukia kwenye udongo mzuri.

Sasa kimsingi ni kwamba sote ni vijana na sote ni wahanga wa hili jinamizi ngono linalotuandama. Lazima tujue sisi ni akina nani, na tuna malengo gani, Lazima pia tujue kuwa taswira ya maisha ya kesho itatokana na nguvu yetu sisi vijana, nguvu ya kupambania mambo yenye tija na kuachana mambo yenye kubomoa.

Sasa hivi vijana kauli mbiu yetu ni kutafuta pesa, lakini ni kwaajili ya kuvuna mademu wakali eti demu flani amenikataa kwasababu sina pesa so nitafute pesa ili nije nimiliki demu mkali, by the time kichupa kinajaa nimepata pesa kidogo, nifanyeje? Unaona hapo shida ni malengo tunayojiwekea sisi vijana.

Sasa unajiuliza mademu wakali ni liability au ni Asset? kama ni liability kwann ujiwekee malengo ya kumiliki liability? sio kwamba nasema vijana tusioe! Au tusimiliki wanawake! no maana yangu ni kwamba muda ni kitu muhimu for what we are passing through, time is everything guys, we are wasting our time doing nothing.

Imagine baba yako anamiliki nyumba moja, wew unakuja kumiliki kitanda, sofa, na tv in your whole life(what a shame) yaani pesa yako ilikuwa ni mitungi na mademu yaani dah, na wanawake sasa hivi wamegundua, wanajua tunapenda matako, so wanayavalia nguo za kuyaonyesha ili tutamani tuwapelekee hela, after few seconds iwe ni regret, its going down like this my dear friends, let us change.

Rai yangu: VIJANA TUBADILIKE, VIJANA TUBADILIKE,VIJANA TUBADILIKE
 
Vijana sasa hivi wimbo wa taifa ni ngono, Ngono imekuwa na mvuto kiasi kwamba inatawala kila kitu. Naizungumzia ngono isiyo rasmi maana tusichanganye hapa, nazungumzia uasherati na uzinzi na wala siyo tendo la ndoa, nafikir nimeeleweka.

Nimezungumzia vijana lakini hasa nalenga jinsia me, jinsia ke hawa downfall yao inatokana na madhaifu yao, wanadanganywa sana. Hawashtuki na kesi za singo maza ndo zinazidi kuwa nyingi.

Anyway kwenye hii kitu ngono sasa....

kwenye hii kitu kwa sasa ni kama dimbwi la matope yenye kina kirefu ambacho vijana sasa ni kama tumebakiza kichwa ili iwe ndo kwisha habari yetu. Tukigawa hali za kimaisha kuna wale wa daraja la katikati(maana walio wengi tunaanzia hapa) hawa unakuta familia ina foundation, yaani baba alipambana akiwa kijana, ili kesho ya kizazi chake iwe brightest(but what wonder the most, it ended different)

Na kuna hawa wakina sisi wa daraja la chini ambao wazee wetu walifeli kwa namna mbalimbali ikiwemo either waliona shule ni kama kinyesi, kuendekeza ngono au kuchezea shilingi chooni, hawa mara nyingi hupanda mbegu penye miiba, miamba na pende madimbwi, mahala ambapo hapawezi kuotesha mazao. Ni mara chache sana mbegu huangukia kwenye udongo mzuri.

Sasa kimsingi ni kwamba sote ni vijana na sote ni wahanga wa hili jinamizi ngono linalotuandama. Lazima tujue sisi ni akina nani, na tuna malengo gani, Lazima pia tujue kuwa taswira ya maisha ya kesho itatokana na nguvu yetu sisi vijana, nguvu ya kupambania mambo yenye tija na kuachana mambo yenye kubomoa.

Sasa hivi vijana kauli mbiu yetu ni kutafuta pesa, lakini ni kwaajili ya kuvuna mademu wakali eti demu flani amenikataa kwasababu sina pesa so nitafute pesa ili nije nimiliki demu mkali, by the time kichupa kinajaa nimepata pesa kidogo, nifanyeje? Unaona hapo shida ni malengo tunayojiwekea sisi vijana.

Sasa unajiuliza mademu wakali ni liability au ni Asset? kama ni liability kwann ujiwekee malengo ya kumiliki liability? sio kwamba nasema vijana tusioe! Au tusimiliki wanawake! no maana yangu ni kwamba muda ni kitu muhimu for what we are passing through, time is everything guys, we are wasting our time doing nothing.

Imagine baba yako anamiliki nyumba moja, wew unakuja kumiliki kitanda, sofa, na tv in your whole life(what a shame) yaani pesa yako ilikuwa ni mitungi na mademu yaani dah, na wanawake sasa hivi wamegundua, wanajua tunapenda matako, so wanayavalia nguo za kuyaonyesha ili tutamani tuwapelekee hela, after few seconds iwe ni regret, its going down like this my dear friends, let us change.

Rai yangu: VIJANA TUBADILIKE, VIJANA TUBADILIKE,VIJANA TUBADILIKE
Maisha siyo rahisi kama vile unavyofikiria na unavyowaza.
Ishi yale unayoweza kuishi mengine yaache kama yalivyo. Serikali yako yenyewe tangu mwaka 1961 mpaka 2023 lakini kuna vijijini imeshindwa hata kujenga barabara
 
Vijana wanawekeza sana pesa zao kwenye mademu na anasa vitu ambavyo havina return on investment

Ila muda ni mwalimu mzuri sana

Life lesson we learn too late; Time passes much more quickly than you realize
kwahiyo we mzee ulivokua kijana hukuhonga kabisa....

hebu nishauri kijana hapa nakaribia kuingiza 20 soon
 
Kuna watakao sema usitupangie maisha😂😂
Maisha siyo rahisi kama vile unavyofikiria. Afrika ni nchi ambazo ni ngumu sana kuishi na kuendelea kiuchumi. Viwandani mpaka sasa, wanalipwa 6300 kwa siku, mshahara wa serikali ni laki 4 mpaka 5 kwa mwezi kwa wafanyakazi. Kama umetoboa ni jambo la kumshukuru Mungu na siyo kuwadharau wengine.
Mpaka sasa, tunaomba Mungu angalau huduma ya Paypal irusiwe, tuweze kupokea pesa.
 
Vijana wanawekeza sana pesa zao kwenye mademu na anasa vitu ambavyo havina return on investment

Ila muda ni mwalimu mzuri sana

Life lesson we learn too late; Time passes much more quickly than you realize
Maisha yajawahi kuwa sawa kwa kila binadamu. Ishi vile unavyoweza, mengine yaache kama yalivyo
 
Vijana sasa hivi wimbo wa taifa ni ngono, Ngono imekuwa na mvuto kiasi kwamba inatawala kila kitu. Naizungumzia ngono isiyo rasmi maana tusichanganye hapa, nazungumzia uasherati na uzinzi na wala siyo tendo la ndoa, nafikir nimeeleweka.

Nimezungumzia vijana lakini hasa nalenga jinsia me, jinsia ke hawa downfall yao inatokana na madhaifu yao, wanadanganywa sana. Hawashtuki na kesi za singo maza ndo zinazidi kuwa nyingi.

Anyway kwenye hii kitu ngono sasa....

kwenye hii kitu kwa sasa ni kama dimbwi la matope yenye kina kirefu ambacho vijana sasa ni kama tumebakiza kichwa ili iwe ndo kwisha habari yetu. Tukigawa hali za kimaisha kuna wale wa daraja la katikati(maana walio wengi tunaanzia hapa) hawa unakuta familia ina foundation, yaani baba alipambana akiwa kijana, ili kesho ya kizazi chake iwe brightest(but what wonder the most, it ended different)

Na kuna hawa wakina sisi wa daraja la chini ambao wazee wetu walifeli kwa namna mbalimbali ikiwemo either waliona shule ni kama kinyesi, kuendekeza ngono au kuchezea shilingi chooni, hawa mara nyingi hupanda mbegu penye miiba, miamba na pende madimbwi, mahala ambapo hapawezi kuotesha mazao. Ni mara chache sana mbegu huangukia kwenye udongo mzuri.

Sasa kimsingi ni kwamba sote ni vijana na sote ni wahanga wa hili jinamizi ngono linalotuandama. Lazima tujue sisi ni akina nani, na tuna malengo gani, Lazima pia tujue kuwa taswira ya maisha ya kesho itatokana na nguvu yetu sisi vijana, nguvu ya kupambania mambo yenye tija na kuachana mambo yenye kubomoa.

Sasa hivi vijana kauli mbiu yetu ni kutafuta pesa, lakini ni kwaajili ya kuvuna mademu wakali eti demu flani amenikataa kwasababu sina pesa so nitafute pesa ili nije nimiliki demu mkali, by the time kichupa kinajaa nimepata pesa kidogo, nifanyeje? Unaona hapo shida ni malengo tunayojiwekea sisi vijana.

Sasa unajiuliza mademu wakali ni liability au ni Asset? kama ni liability kwann ujiwekee malengo ya kumiliki liability? sio kwamba nasema vijana tusioe! Au tusimiliki wanawake! no maana yangu ni kwamba muda ni kitu muhimu for what we are passing through, time is everything guys, we are wasting our time doing nothing.

Imagine baba yako anamiliki nyumba moja, wew unakuja kumiliki kitanda, sofa, na tv in your whole life(what a shame) yaani pesa yako ilikuwa ni mitungi na mademu yaani dah, na wanawake sasa hivi wamegundua, wanajua tunapenda matako, so wanayavalia nguo za kuyaonyesha ili tutamani tuwapelekee hela, after few seconds iwe ni regret, its going down like this my dear friends, let us change.

Rai yangu: VIJANA TUBADILIKE, VIJANA TUBADILIKE,VIJANA TUBADILIKE
Wewe haupendi matako?
 
Kila mtu ashinde mechi zake!

Sema lakini unaujua mzuka wa kudinya? Isije ikawa tunachat na padre
 
kwahiyo we mzee ulivokua kijana hukuhonga kabisa....

hebu nishauri kijana hapa nakaribia kuingiza 20 soon
Achana kabisa na hizi mambo za kuhudumia. Epuka sana manzi anayekugeuza wewe ndio kama baba yake au sponsor wake

Utakuta kijana ana mademu watatu na wote anahudumia unafikiri ni pesa kadiri gani anapoteza. Kwa nini uumgharamie mwanamke ambaye hauna future naye?

Kama kijana bado unajitafuta piga tu hit and run au nunua malaya wale wasafi ujilie usepe au uwe unamega kisela
 
Back
Top Bottom