Burkinabe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,888
- 3,179
Kati ya viongozi ambao hawakupaswa kuandikwa hata kwenye vitabu vya kihistoria ni chifu Mangungo wa Msovero maana ni kielelezo kibaya sana na cha aibu kwa Taifa letu.
Siku nikifanikiwa kuwa kwenye nafasi ya kufanya maamuzi, nitapiga marufuku kabisa kwa viongozi wote wenye kariba ya Chifu Mangungo kuwekwa kwenye historia ya nchi yetu.
Watoto wetu wanapaswa kufundishwa habari za kina Chifu Mkwawa wa Iringa, Chifu Mirambo wa Tabora, Chifu Isike n.k.
Hiyo itawafanya na wao kuwa na moyo wa uzalendo kama ya hao mashujaa niliowataja hapo juu.
Huenda labda kwa kufanya hivyo tukafanikiwa kuwa na viongozi wazalendo watakaolivusha Taifa letu, kututoa tulipo, na kutupeleka sehemu nzuri zaidi.
Naomba kuwasilisha.
Siku nikifanikiwa kuwa kwenye nafasi ya kufanya maamuzi, nitapiga marufuku kabisa kwa viongozi wote wenye kariba ya Chifu Mangungo kuwekwa kwenye historia ya nchi yetu.
Watoto wetu wanapaswa kufundishwa habari za kina Chifu Mkwawa wa Iringa, Chifu Mirambo wa Tabora, Chifu Isike n.k.
Hiyo itawafanya na wao kuwa na moyo wa uzalendo kama ya hao mashujaa niliowataja hapo juu.
Huenda labda kwa kufanya hivyo tukafanikiwa kuwa na viongozi wazalendo watakaolivusha Taifa letu, kututoa tulipo, na kutupeleka sehemu nzuri zaidi.
Naomba kuwasilisha.