Unashindwa nini kuwekeza kwenye miradi midogo kila baada ya muda flani. Kila mwezi ukiwekeza kwenye mradi wa M moja na mwezi ufatao unaongeza mtaji au unafungua mradi mwingine utatunza hela, utarudisha hela, utapata faida na utakuwa na hela kwenye mzunguko.
Inaonekana huna uwezo wowote wa kuanzisha biashara kwa kuwa umezoea hela za ganji. Na wakati huo huna uwezo wa kusimamia. Wacheza kamari hawajawahi kujua kusimamia chochote, ona hata wewe hujui kutoka gambling.
Weka mtu kisha mpe mandate, yeye arejeshe kiasi kadhaa kwa muda flani. Wewe endelea na kulewa, wanawake na bata za ovyo. Najua haya hayakwepeki kwa gamblers. Mwisho nalenga kukwambia acha hizo mambo.