Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

Basi mi nikajua umeona vinyoyanyoya kwenye mwili wake.....!!! dah! lakini umeumia ulivyomuacha
 
Wewe ni shujaaaa na umeonesha msimamo wa kiume aende zakee nagupapuchi gwake bhana,wadada wako kibao ungemkubalia huo ujinga wake wewe ungekuwa zaid ya mtumwa!

unaona mkuu! Namwambia mi nataka tuonane .... Ananiuliza 'kufanya nini?...ili iweje?....alafu anamaliza kwa kusema 'itakuwa ngumu'!
 
huyo alikuwa muoga wa mapenzi au labda hukuwa hadhi yake so akawa anaogopa kuonekana na ww mtaani...
 
Chukua uamuzi mgumu mwambie kama hataki kua pamoja nawe aache wapo wengi wanalilia nafac hio kuvunjika kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi

nishatupa na nyuma sitazami!
 
Basi mi nikajua umeona vinyoyanyoya kwenye mwili wake.....!!! dah! lakini umeumia ulivyomuacha

hahahahah:...sijui kwanini!....nikivuaga penzi huwa siumii!
 
huyo alikuwa muoga wa mapenzi au labda hukuwa hadhi yake so akawa anaogopa kuonekana na ww mtaani...

inawezekana alikuwa muoga...sasa anayejitambulisha kama mamamdogo wake:....... anatuma msg 'eti mtoto wa kike yuko hospital amepata mshtuko wa moyo':.........nimemwambia mi sihusiki wamalizane nae mwenyewe!
 
we unafikiri wapenzi wanaanzaga kutoka baada ya mda gani?:.....msinizeeshe jamani.....kutoka na mpenzi wako haina maana mnaenda kungonoka!

kama haimaanishi hivyo unalalamika nini? endelea kutoka tu mpka siku atakayoamua kukunjua,siyo unalalamika wakati unajua ukitoka na mpz wako si lzm ungonoke!!!
 
pole jamani huyo mtoto wa kike vipi yaani wewe unataka
umuoe yeye analeta blaablaa ajui kuwa anacheza na shilingi mdomoni
cha kufanya mwambie wazi kuwa wataka kumuoa na mpange maisha halafu
ukiona analeta vya mchezo achana naye kwani anataka kukulia tu hela zako huyo
Huyu mtoto wa kike naishi nae hapa mtaani ni mwezi sasa tangu akubali ombi langu. Sasa wadau kilichonichosha, ingawa tuko mtaa mmoja, akawa anataka tuwe tunawasiliana kwa simu tu kama tunaishi mikoa tofati vile.

Eti mmewahi kuiona wapi hii jaman? Na kama kuonana basi atakuja ofisini kwangu kunipa hi na kuondoka. Nikimwambia tuonane private ili tupange future yetu vizuri, analeta stori nyingiiiii, mara ooh sijazoea kuzurura na sababu nyingine zisizo na mashiko.

So habari nzuri kwenu wadau ni kwamba nimemchana vya kutosha na kumwambia asepe ila pia kuonesha sishoboki kizembe, papuchi yake sijaigusa wala denda sijala.

SAMAHAN UANDISHI NI SHIDA KWA HII SIMU
 
kama haimaanishi hivyo unalalamika nini? endelea kutoka tu mpka siku atakayoamua kukunjua,siyo unalalamika wakati unajua ukitoka na mpz wako si lzm ungonoke!!!

labda hujanielewa mkuu!:...huyo mtoto anataka tuishie kuchati na kuwasiliana kwa simu...kutoka hataki!!
 
pole jamani huyo mtoto wa kike vipi yaani wewe unataka
umuoe yeye analeta blaablaa ajui kuwa anacheza na shilingi mdomoni
cha kufanya mwambie wazi kuwa wataka kumuoa na mpange maisha halafu
ukiona analeta vya mchezo achana naye kwani anataka kukulia tu hela zako huyo

we unazani ahadi ya kuoana inatolewa tu...bila hata kujua mtu akinuna anakuwaje!:......na ndo maana nikamuomba tujaribu kuwa karibu endapo nafasi inapatikana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom