Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

we angelita shauri ako ukute cha masaa mawili mgegedoni ndo ujute shake before use ha!ha!haa (utani)

Kwetu sijafunzwa hayo ya shake well before use, nimejitunza mie nimzawadie mume zawadi teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Jamaa kachagua wa mtaani, kazini wanaweza kuwepo lakini hamwendani. we songa mbele bana hakuwa riziki huyo
 
Safi sana Muraaa, we ni mwanaume uliyetahiriwa bila ganzi
 
Aiiii yaan mawasiliano kwa simu naona hata papuchi angekupa kwa simu!!!!
 
Kwa sababu analeta madoido mwache na papuchi yake ataila mwenyewe
 
Majigo kuoga peke yake ndo unaweza ukaghairi lakini si chakula unaweza ukakisusa leo kesho ukala,nafkr utakuwa umenielewa nini namaanisha
 
Last edited by a moderator:
Majigo... hapo mtaani kwenu kuna binti msichana mmoja tu....?
 
Last edited by a moderator:
Ningemuona huyo msichana ningempa mkono, safi sana mnapenda sana ku....... na ulikua unataka privacy muongee future kweli au??? maana future unaweza hata iba break ofsini ukatoka naye ukaongea au hata kwa simu....
 
huyu mtoto wa kike naishi nae hapa mtaani ni mwezi sasa tangu akubali ombi langu.....sasa wadau kilichonichosha , ingawa tuko mtaa mmoja ,akawa anataka tuwe tunawasiliana kwa simu tu kama tunaishi mikoa tofati vile...eti mmewahi kuiona wapi hii jaman?....... na kama kuonana basi atakuja ofisini kwangu kunipa hi na kuondoka...........nikimwambia tuonane private ili tupange future yetu vizuri, analeta stori nyingiiiii.....mara... ooh sijazoea kuzurura na sababu nyingine zisizo na mashiko......so habari nzuri kwenu wadau ni kwamba nimemchana vya kutosha na kumwambia asepe ila pia kuonesha sishoboki kizembe, papuchi yake sijaigusa wala denda sijala! ......SAMAHAN UANDISHI NI SHIDA KWA HII SIMU
maamuzi kama haya ndo nayapenda....haiwezekani uteseke kutafuta maisha, mapenzi tena ambayo yalitakiwa yawe faraja ndo yawe kama GPA ya 5 kusoma mpaka kuchanganyikiwa! let it go...they always keep coming back, if not her... her sister,friend, other women will.
 
nimekuja kuwapa nguvu ya kufanya maamuzi magumu...hii ni kwa watumwa wote wa kudumu wa papuchi

ila ujue DSM hakuna mb...u..n..ye ya dezo,,,lazima ukung'ute mavuba......
 
Xafiii lzima uonyeshe ukomavu,ushupavu,km kidume ungetupia japo kwa mara moja,co ukute kakufanya ka mrad kanako leta profit

Sent from my BlackBerry 9800. using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom