siku hizi na sisi tumegoma kuchezewa...teh teh teh...njoo tupange maisha mtoto mzuri!
Ukiona mwanamke sababu zinakuwa nyingi we sepa zako mapema, mara nyingi anakuwa ana hide jambo fulani. Huenda ana jamaa yako hapo kitaaa na hivyo anaogopa kuonekana nawewe public. Au huenda hakukubali na hivyo atakuwa ashamed kwa wenzie pindi anapooonekana nawe ( si unajua masister du huwa wako selective sana mpaka wakishatendwa na age imesoma mile ndo akili hukaa sawa).
astagafilu was the relationship short-term or long term au haikuwa na malengo everythng happen for a reason, hapo ofcn kwenu si wapo wadada rusha wavu uone kama itatoka na samaki
ewe nae unang'ang'ana na kuoana....kwani ndo fasheni siku hizi?