Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

Akili imenikaa sawa, baada ya kuona vinyoyanyoya

ahahahaha:...wadau mtoto kaja kwa dizain nyingine jana usiku imeingia msg kwa namba mpya inajitambulisha kuwa ni mama yake mdogo....ananiliuza kama mimi ni boyfriend wake ,yule mtoto yuko hospitali hoi hajitambui ila anaweweseka kulitaja jina langu!.........nimemwambia akafie mbali hasinichulie mimi!
 
Makubwa!! Mwezi mmoja unataka kumaliza kila kitu! Umeskia pipi hyo? Halafu uache uzinz kunywa maji ya kisima chako mwenyewe.

we unafikiri wapenzi wanaanzaga kutoka baada ya mda gani?:.....msinizeeshe jamani.....kutoka na mpenzi wako haina maana mnaenda kungonoka!
 
Majigo kuoga peke yake ndo unaweza ukaghairi lakini si chakula unaweza ukakisusa leo kesho ukala,nafkr utakuwa umenielewa nini namaanisha

nimekupata mkuu wangu JIPU! Mida flani nitakutafuta tubadirishane taarifa za hapa mjni
 
Last edited by a moderator:
Huyu mtoto wa kike naishi nae hapa mtaani ni mwezi sasa tangu akubali ombi langu. Sasa wadau kilichonichosha, ingawa tuko mtaa mmoja, akawa anataka tuwe tunawasiliana kwa simu tu kama tunaishi mikoa tofati vile.

Eti mmewahi kuiona wapi hii jaman? Na kama kuonana basi atakuja ofisini kwangu kunipa hi na kuondoka. Nikimwambia tuonane private ili tupange future yetu vizuri, analeta stori nyingiiiii, mara ooh sijazoea kuzurura na sababu nyingine zisizo na mashiko.

So habari nzuri kwenu wadau ni kwamba nimemchana vya kutosha na kumwambia asepe ila pia kuonesha sishoboki kizembe, papuchi yake sijaigusa wala denda sijala.

SAMAHAN UANDISHI NI SHIDA KWA HII SIMU
Safi sana kwa uamuzi wa kipuuzi uliochokua kumbe nia yako ulikua unaitaka papuchi yake biashara iishe si ndo ivo dem naye kakushtukia ukome na u bazaz wako. kama angekupa ungetuambia? na hukawii kusema ni mama huruma
 
Huyu mtoto wa kike naishi nae hapa mtaani ni mwezi sasa tangu akubali ombi langu. Sasa wadau kilichonichosha, ingawa tuko mtaa mmoja, akawa anataka tuwe tunawasiliana kwa simu tu kama tunaishi mikoa tofati vile.

Eti mmewahi kuiona wapi hii jaman? Na kama kuonana basi atakuja ofisini kwangu kunipa hi na kuondoka. Nikimwambia tuonane private ili tupange future yetu vizuri, analeta stori nyingiiiii, mara ooh sijazoea kuzurura na sababu nyingine zisizo na mashiko.

So habari nzuri kwenu wadau ni kwamba nimemchana vya kutosha na kumwambia asepe ila pia kuonesha sishoboki kizembe, papuchi yake sijaigusa wala denda sijala.

SAMAHAN UANDISHI NI SHIDA KWA HII SIMU

Ukiona mtu hana mwelekeo wa lengo lako una-mute tu; ya nini kumtolea lugha zisizo za kistaarabu. Tujifunze kupokea majibu kama yalivyo.
 
saikolojikale ni sahihi mleta mada anachosema!

mvulana akikaa muda mrefu bila kuperform over the papuchi, anakuwaga mapepe sana na kuwa na vitabia kama vya kike kike hivi! hii imeshawatokea wengi ambao mimi kama mwenyeji niliwasaidia njia ya kutatua problem..!!

ceteris paribus!
 
Safi sana kwa uamuzi wa kipuuzi uliochokua kumbe nia yako ulikua unaitaka papuchi yake biashara iishe si ndo ivo dem naye kakushtukia ukome na u bazaz wako. kama angekupa ungetuambia? na hukawii kusema ni mama huruma

sio hivyo banah!...labda unambie kama ww huwa hautoki na mpenzi wako pindi mpatapo nafasi, kwenda faragha kuoneshana hisia zenu kwa matendo japo kwa wiki mara moja ,ikizingatiwa mnaishi mtaa mmoja!:....cha ajabu kipi hapa mimi kutaka kutoka na mpenzi wangu!
 
nimeamini kweli kuna wadau hapa wana roho za ajabu .... Ninyi mnataka niishi na mpenzi wangu kama tuko kifungoni?:.......wala siifanyi ngono kama kigezo cha kuwa karibu na yule nimpendae.....bali mapenzi ya kuishi na mpenzi wangu kama tuko shule za bweni...tena mikoa tofauti mi siyawezi!
 
Ukiona mtu hana mwelekeo wa lengo lako una-mute tu; ya nini kumtolea lugha zisizo za kistaarabu. Tujifunze kupokea majibu kama yalivyo.

kumwambia tuachane nayo ni lugha chafu?
 
sio hivyo banah!...labda unambie kama ww huwa hautoki na mpenzi wako pindi mpatapo nafasi, kwenda faragha kuoneshana hisia zenu kwa matendo japo kwa wiki mara moja ,ikizingatiwa mnaishi mtaa mmoja!:....cha ajabu kipi hapa mimi kutaka kutoka na mpenzi wangu!
Ndugu yangu wanawake ni watu wadhaifu sana ila ni wachunguzi mno na wanataka kuheshimiwa sasa inategemea wewe umemchukuliaje kama mapenzi ya cm je ni lugha gani uitumiayo kuconvice ili mtoke isije kua lugha ni uitumiayo ni ya kule kwetu msoma.bembeleza kama marow usitumie misamiati kama FID Q. HAPO HATA MISS TZ UTAMPATA vilevile usiweke tamaa ya ngono mbele kama unafuture naye ndege wako manati ya nini bwana msome ukweli utaupata
 
nimeamini kweli kuna wadau hapa wana roho za ajabu .... Ninyi mnataka niishi na mpenzi wangu kama tuko kifungoni?:.......wala siifanyi ngono kama kigezo cha kuwa karibu na yule nimpendae.....bali mapenzi ya kuishi na mpenzi wangu kama tuko shule za bweni...tena mikoa tofauti mi siyawezi!
Wewe ni shujaaaa na umeonesha msimamo wa kiume aende zakee nagupapuchi gwake bhana,wadada wako kibao ungemkubalia huo ujinga wake wewe ungekuwa zaid ya mtumwa!
 
Ndugu yangu wanawake ni watu wadhaifu sana ila ni wachunguzi mno na wanataka kuheshimiwa sasa inategemea wewe umemchukuliaje kama mapenzi ya cm je ni lugha gani uitumiayo kuconvice ili mtoke isije kua lugha ni uitumiayo ni ya kule kwetu msoma.bembeleza kama marow usitumie misamiati kama FID Q. HAPO HATA MISS TZ UTAMPATA vilevile usiweke tamaa ya ngono mbele kama unafuture naye ndege wako manati ya nini bwana msome ukweli utaupata

kwakweli mkuu PAKAYA huyu mtoto sijawah kuzungumzia ngono ktk maongez yetu ya simu.....tatizo kubembeleza mi sijui....hata kumtongoza nilimtongoza mara moja , aliponiletea zile pozi za sitak nataka, nikamwambia poa baki kama ulivyo..... ila baadaye akaanza kunitafuta na kuanza kunichombeza kwa msg..... ndipo nikamtongoza tena akakubali.....hata kazini nilimwambia hasiitumie kama sehemu ya kuonana hivyo nikampiga marufuku!
 
kwakweli mkuu PAKAYA huyu mtoto sijawah kuzungumzia ngono ktk maongez yetu ya simu.....tatizo kubembeleza mi sijui....hata kumtongoza nilimtongoza mara moja , aliponiletea zile pozi za sitak nataka, nikamwambia poa baki kama ulivyo..... ila baadaye akaanza kunitafuta na kuanza kunichombeza kwa msg..... ndipo nikamtongoza tena akakubali.....hata kazini nilimwambia hasiitumie kama sehemu ya kuonana hivyo nikampiga marufuku!
Chukua uamuzi mgumu mwambie kama hataki kua pamoja nawe aache wapo wengi wanalilia nafac hio kuvunjika kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom