Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
- Thread starter
- #81
Mi namtetea pengine hakuwa na nia mbaya kabisa na ungelala kwake asingekugegeda wala nn
haa mtu anakwambia hataki dirishani wamuone, mara nisiongee kwa saut kubwa watamsikia, amefunga milango yote na kuzima taa juu huku mziki sauti kubwaaa nisishtuke tu!! kama ni kunisaidia yeye angenambia atalala na yule kaka aloenda kuangalia mech then mim nilale kwake at least ningemwelewa!