Akhaa babu ukubwa kitu gani?...

Akhaa babu ukubwa kitu gani?...

Hizo pumbuuuuu ungezibinyaje wakati uliishiwa na nguvu zote hadi joint zikawa hazijiwezi? Shukuru hiyo simu ilikuponyesha kubakwa japo najua jamaa angekuwa diplomatic angekula kipapai!!
awapi ningembinyaje pumbu zakeee nguvu zote zingemuisha
 
Hiyo ni attempted rape huyo chizi alitakiwa kutupwa polisi.

Mwanamke ukimtaka unamlainisha kwa nyama ya ulimi, sio kwa kumshika kwa nguvu.

Na akikataa unakubali kushindwa unaenda kutafuta kwingine.

Pole sana for the emotional turmoil.
 
Hiyo ni attempted rape huyo chizi alitakiwa kutupwa polisi.

Mwanamke ukimtaka unamlainisha kwa nyama ya ulimi, sio kwa kumshika kwa nguvu.

Na akikataa unakubali kushindwa unaenda kutafuta kwingine.

Pole sana for the emotional turmoil.

asante..
 
Alikosea,alichelewa kubonya panic button mapema hadi ukapanic mwenyewe.

Huyo ana nafasi kulala nawe kwa hiari ziku za usoni.
 
kuna yaliyorukwa hapa ili ionekane safe... ila tunaofikiria sana tushajua kitu kimeliwa..!!!!
pole sana..!!!!
 
Labda alimfananisha na maharage ya mbeya.....maana sijui muonekano na unavyojikeep
 
Pole sana! Ulifanya vizuri!
Huyo kaka si mtu mzuri kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom