Kuna injili ya mapenzi kiongozi, yaani unamsoma binti hulka yake kwa haraka kisha unaanza kumchapa neno ukilenga yale tu anayopenda kuyasikia kutokana na tabia uliyoisoma kwake.
Niliposema vijana wliozaliwa utawala wa Mwinyi kuja juu nilimaanisha kwa mfano unakuta vijana wanatongoza kwa kutumia status za familia yao,ama minyororo hii mnayovaa siku hizi.....![]()
Yumkini nawe ulijiweka kihasara hasara sana maana kama ungetupiamo mavazi ya kina dada wa utawala wa Mwalimu huyo Sharobaro asingekutamani...hebu cheki haya mapigohawa watoto wa k.k.ete utawaweza sasa???
mmhhhhh gospel ya mapenzi???? ndo ipi hyo???!!
awapi ningembinyaje pumbu zakeee nguvu zote zingemuisha
Kuna injili ya mapenzi kiongozi, yaani unamsoma binti hulka yake kwa haraka kisha unaanza kumchapa neno ukilenga yale tu anayopenda kuyasikia kutokana na tabia uliyoisoma kwake.
Niliposema vijana wliozaliwa utawala wa Mwinyi kuja juu nilimaanisha kwa mfano unakuta vijana wanatongoza kwa kutumia status za familia yao,ama minyororo hii mnayovaa siku hizi.....![]()
Kwanza ni kukupa ukarimu uliopitiliza halafu mwendo wa baybe baybe nyingiiiiiiii bila hata sababu ya msingi na nikiona somo halikuingii nakupa hata mikasa ya vibwengo kwa wageni wanaofika mara ya kwanza kwenye eneo ulilofika, na nitaieleza kwa uchungu kweli kwamba the only suluhu ni two in one just in case ha ha haaa...kisha nakuaga naenda kulala halafu tuone!
awapi...
mingi tu ya kujitosheleza japo hiyo sio sababu ya kunfanyia yale binti wawatu