Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,406
Da Mange kafanyaje?
Weka linkMi ndo natoka kucomment kwenye page yake hapa
POINTyaani kama kuna great thinker humu anayeamini mange amelewa au account yake iko hacked, basi atakuwa na upeo mdogo mnoooo. you dont know her. yuko tayari kufanya chochote kwa ajili ya chochote. anachokifanya ni makusudi ili kutoa attention kwenye event ya danube gsm mall
Ila sidhani kama anamshinda Bashite kwa maaduiKwa asiyemfahamu Mange atahisi ni serikali lkn kwa anaye mfahamu vzr atajua kuwa ana maadui wengi sana tofauti na serikali
PovuuuUkiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
Alisema mzungu kamlewesha kalewa Sana
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
Hahaaaaaaa ana kawaida ya kuwananga wenzake wakiwa hacked anapenda kusema wanajifanyisha zamu yake Sasa.
leo ndio ataamini kwamba kaka na dada hacker wapo! Alimnangaga lina eti ameuza account yake halafu anadanganya hacker....Hahaaaaaaa ana kawaida ya kuwananga wenzake wakiwa hacked anapenda kusema wanajifanyisha zamu yake Sasa.
Mganga hajigangi, afu alitukana mamba kabla hajavuka mto. Natumai sasa kajifunza.leo ndio ataamini kwamba kaka na dada hacker wapo! Alimnangaga lina eti ameuza account yake halafu anadanganya hacker....
hapa juzi juzi tu katoa somo la kujikinga na hackers, sasa sijui yamemkuta yapi
n
amesharudi hewani....mmmh watu wasiojulikana ni hatari
acha uongo, soma post yake ya dka 10 zimeisha inahusu zanzibar. usikute unataka tu pay attention tujibu ili tuonekane kuwa sisi ndio huwa tunamfuatilia kwa kusoma post zake unactuchora eheheh utajijuMambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
Aiseee. Kachafua hali ya hewa!hizo pombe zake zikiisha sijui atasemaje.....pombe za bure zinatesa