Tetesi: Akaunt ya Mange insta yadukuliwa

Status
Not open for further replies.
yaani kama kuna great thinker humu anayeamini mange amelewa au account yake iko hacked, basi atakuwa na upeo mdogo mnoooo. you dont know her. yuko tayari kufanya chochote kwa ajili ya chochote. anachokifanya ni makusudi ili kutoa attention kwenye event ya danube gsm mall
POINT
 
Hii kitu sio kweli na sio kweli huyu mtu aliofanya hii ana akili timamu tena ya kutosha na ana kipindi kilefu hajanywa pombe, hiyo picha iangalie kwa makini huyo mtu aliofanya hivi huenda yuko hapa hapa bongo, lkn kuhusu mage, sio kweli
 
Ukiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
Povuuu
 
eb70a1539d94262a78baa04ff947d592.jpg
 
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
c815fa69a6f848a3f85e09470a6e6722.jpg
 
leo ndio ataamini kwamba kaka na dada hacker wapo! Alimnangaga lina eti ameuza account yake halafu anadanganya hacker....
hapa juzi juzi tu katoa somo la kujikinga na hackers, sasa sijui yamemkuta yapi
Mganga hajigangi, afu alitukana mamba kabla hajavuka mto. Natumai sasa kajifunza.
 
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
acha uongo, soma post yake ya dka 10 zimeisha inahusu zanzibar. usikute unataka tu pay attention tujibu ili tuonekane kuwa sisi ndio huwa tunamfuatilia kwa kusoma post zake unactuchora eheheh utajiju
 
Mmmh mange angekua amehackiwa iyo picha mbona ni recent kabisa af anasema amehackiwa , mi siamini
 
kama hana tabia ya kufuta Dm hapo sasa wote walotoa siri za kambi wamejulikana kazi wanayo!!..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom