mommythebest
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 516
- 618
Wale wa pliz hide my id matumbi joto saivi.. HahahaaTunasubiria tu awaweke mubashara wale wa plz hide my id!
Wale wa pliz hide my id matumbi joto saivi.. HahahaaTunasubiria tu awaweke mubashara wale wa plz hide my id!
Kumbe ile e mail ilikua ya kweli! Mlevi ndio huwa anasema ukweliView attachment 609053
Mwandiko wa mange kabosa huu. Anapenda kusema 'haki'.
Kweli mange is a lonely ass. Kumbe hadi leo kinamuuma alivogombana na kina kiki
FACTUkiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
Ndio.. Mii mwenyewe nimejua leo kuwa ile email ilikua ni kweli. Coz siku zote mlevi ndo huwa anasema ukweli.Kumbe ile e mail ilikua ya kweli! Mlevi ndio huwa anasema ukweli
Wewe futa post yako unaijua sheria ya mtandao lakinihii hatar
Dah basi huyu dada si wakumuamini sana hata uanaharakati wake muda wowote ana changeNdio.. Mii mwenyewe nimejua leo kuwa ile email ilikua ni kweli. Coz siku zote mlevi ndo huwa anasema ukweli.
Haha namsubiri atakuja na lundo gani la uongo la kuwachota wale misukule wake
Sio wa kumuamini kabisa. Yani nawaangliaga watu wa cdm kina Kilewo, kina Binamu Bananga wanavoji attach naye nawaone huruma. Wasubiri akiwachenjia watakoma. Sio wa kumuamini kabisaDah basi huyu dada si wakumuamini sana hata uanaharakati wake muda wowote ana change
FACT
Yani nashangaa sana. Eti watu wamelike utumbo ulioandikwa. Haki watz kweli ni vichaa jamnihakika hii ac imedukuliwa
alafu kuna nyumbu wame like alichopost ,haya mambo yanachekesha kweli
Ha ha alivyokua anamsifia Bint Makamba and family na akawavua nguo na hata Wema aangalie sana dalili zipo wazi siku isiyo na jina ataisomaSio wa kumuamini kabisa. Yani nawaangliaga watu wa cdm kina Kilewo, kina Binamu Bananga wanavoji attach naye nawaone huruma. Wasubiri akiwachenjia watakoma. Sio wa kumuamini kabisa