Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,709
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
===============================================
Miaka imeenda, kweli Mpenzi wangu Bishanga hajulikani kabisa aliko.
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
===============================================
Miaka imeenda, kweli Mpenzi wangu Bishanga hajulikani kabisa aliko.
Last edited by a moderator: