Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
Ulishawai kutoa taarifa kwenye vyombo husika?
Ni ku'misuse' jeshi la wananchi...kwahiyo askari wa wanyama pori wamefutwa kazi au wamepewa likizo bila malipo.
Ebu fikiria vizuri...hivi majuzi alikamatwa askari wa jeshi la wananchi na pembe za ndovu...je. hapa mnataka kutupa picha gani...!?
Nasema tunashukuru sana kupewa jukumu hili,maana walizidi sana
Nasema tunashukuru sana kupewa jukumu hili,maana walizidi sana
tunawaamini manake nyie kila kitu kwenu ni operation! Ila mkuu cku nyingine fanya km umekosea kwenye keybod tupia na 2jina! Mods wakifuta wengine tunakuwa tushajua! Wanaosema utajiri wao umetokana na majaaliwa ya allah kumbe wanakwiba nyala za govmnt!
umeona eh!Kweli shuka halina mfuko duh
hahahaa... kumbe walikwa ni ma BLOGGERS wa bongo? then leo imekula kwao.WaTZ tumezidi mno kushangaa hata panapostahili kukimbia. Usikute walitaka kuwa wa kwanza kuipata hiyo news ili waonekane wakali. Poleni mliochezea kichapo hicho. Chezea JWTZ weye!
hahahaa... Kumbe walikwa ni ma bloggers wa bongo? Then leo imekula kwao.
Nyie kila kitu kwenu si chema, chema ni pale tu Slaa anapomjengea mchumba jumba la kifahari kwa pesa za ruzuku, kuulizwa, anasema kakopa kwenye chama, hivi chadema ni saccos?
Unajua Ben amewapa nafasi nzuri sana ya kueleza kinagaubaga umuhimu wa m/kiti wa chama tawala kufanya ziara nyingi namna hii, kwa kuanza kuorodhesha yale aliyoyafanya kwa manufaa ya watanzania wote kuanzia ziara yake ya kwanza nje ya nchi mara tu alipopewa madara ya kuitawala Tanzania. Itumieni fursa hii.leo nimeamini kuna watu wanapenda sifa humu...
Mfano:
Ziara aliyoifanya Uganda hivi karibuni na kukutana na Kagame...wakajadiliana kuhusu uhusiano wa nchi mbili ambao ulikuwa unalegalega. Wakafikia makubaliano ya kurejesha uhusiano wa kawaida baina ya Rwanda na Tanzania...hii ilikuwa ziara muhimu kwa Ben na watanzania wengine maana rais aliwezesha nchi kuondoka katika hatari ya kuingia vitani na Rwanda. Binafsi ziara hii ilikuwa ya manufaa, sabubu kila mtu anajua madhara ya vita fundisho tunalo la vita dhidi ya Nduli Idd Amin wa Uganda.
Sasa stroke tumia mfumo huo hapo juu kuelezea ziara nyingine 356 alizofanya 'mkuu wa kaya 'kujibu hoja za Ben Saanane.
Kama mtafuata ushauri wangu na kuhakikishiene mnaweza kubadilisha mtazamo wa kundi kubwa la wanaJF ambao wataanza kuchukua kadi za CCM ili kufufua uanachama wao (kwa wale uliokufa) na kujisajili kwa wale wapya wa chama. Lakini mnapoendelea kutoa maelezo ya namna hii ni sawa na kusema Mh. Lisu ana sifa mbaya bila kutoa ushahidi. Ebu kiteteeni chama kwa hoja makini siyo hizi za kuzidi kukididimiza.
Tulikuwa tunafatilia nyendo zake huko limbaramba na mpakani mwa msumbiji,huwezi sema wakati huna uhakika kama mzigo anao,na gari la wagonjwa la hosp ya wilaya ya mbinga ndio punda wa hiyo ishu,sio hao tu wapo wengi ila siwez taja hapa kwa ishu ya ki usalama zaidi,maana bado tunawasaka,kama una swali lingine uliza,na sasa tupo kwenye nyumba ya mfanyabiashara mmoja huku mtaa wa uzunguni kwa upekuzi
et waislam wenzake wameandamana mpaka kituo cha polisi hapa kushinikiza mwenzao muuza pembe walichofanya jwtz wanajua wenyewe
Yaani bado hamjaelewa somo... nimekufundisheni hivi kwenye uzi ule>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ari-357-za-jk-nje-ya-nchi-13.html#post7524250
Jibu hoja kwa hoja makini...
Nizidi kukuuliza kama ndege ya jeshi la taifa lingine ilitua nchini mwetu bila jeshi letu kujua na kuondoka na wanyamapori wetu....Je. hiyo inaleta picha gani kwa mukulu kuagiza jeshi hilo kutwaa madaraka ya askari wa wanyama pori ...?
huyu hakutumwa na lile the Tembo dictator kweli, nauuliza tu
Na wale walioshikwa na kufunguliwa kesi hujawaona?