Akamatwa na pembe za ndovu - Mbinga

Akamatwa na pembe za ndovu - Mbinga

huyu hakutumwa na lile the Tembo dictator kweli, nauuliza tu

inaonekana ni mtandao wa muda mrefu, sasa wanataka kupunguza chanell ionekane suala hili linafanyiwa kazi....

baado wale wanao deal interms of Tonnes za Ndovu, je JWTZ wataweza ?? wakati TISS hawana habari kamili !!.
 
tuambie mkuu!

subiri kazi ifikie pazur ntakujulisha,tegemea kuona baadhi ya watu wakitoroka mbinga,mmoja tumemkamata kwenye basi la super feo makambako akijiandaa kutorokea dar,nimekusaidia kwa hilo,
 
inaonekana ni mtandao wa muda mrefu, sasa wanataka kupunguza chanell ionekane suala hili linafanyiwa kazi....

Baado wale wanao deal interms of tonnes za ndovu, je jwtz wataweza ?? wakati tiss hawana habari kamili !!.

una uwakika kuwa tiss hawana habari kamili?thibitisha hapa na mimi nikuthibitishie hata kwa kukuambia wewe upo eneo gani
 
Napakumbuka kipololo ,bagamoyo litoho,Longa,lipembe, Kikolo na bangamao falls.
 
Hakujisajili ktk list ya mzee wa Lumumba. Hahatari sana.
 
Safi sana, nilimsikia Mheshimiwa Rais katika interview yake na ICCF kuwa kishaamuwa kuliingiza Jeshi la Wananchi kushughulikia hii mambo, naona kazi imeanza:

[video=youtube_share;Hxp1EN-_NUY]http://youtu.be/Hxp1EN-_NUY[/video]

hata rais hana imani tena utendaji wa jeshi la polisi au wewe wasemaje?nini kifanyike kuirudisha imani hiyo?mimi napendekeza polisi iwe chini ya JWTZ kama ilivyo JKT.polisi inanunuka rushwa
 
Tukiona baadhi wanakuwa matajiri tunaishia kusema 'wamejaariwa na Allah' na mengine mengi kama 'wametumia fursa'.
Kumbe ndio wanamaliza tembo wetu na rasilimali nyingine. Nadhani ile Kampeini ya Obama alyoahidi inazaa matunda sasa!
 
Nasema tunashukuru sana kupewa jukumu hili,maana walizidi sana
 
mtu mmoja anayefahamika kwa jina la karama mwenye asili ya kiarabu,leo mapema ametiwa nguvuni na wanajeshi wapatao kumi baada ya kuhisiwa na kukutwa na pembe za tembo nyumbani kwake maeneo ya maktaba mbinga-ruvuma.Wanajeshi hao waliizunguka nyumba ya mfanyabiashara huyo na wengine kuikagua ndani ndipo walipokuta 'ishu' hyo.Msako huo wa kushtukiza pia uliwanasa watu wengine wawili waliofahamika kwa majina ya mathias na pius kuhusiana na tukio hilo ambao wote wamechukuliwa na wanajeshi hao kuelekea kwenye sheria

Watakuwepo mtaani muda siyo mrefu kwani mkurugenzi wao kinana yupo
 
sisi ndio tumesababisha kukamatwa kwake na sio yeye tu,tegemea kusikia mengi toka mbinga kuanzia leo

Watu kama hawa ndiyo wanaoichangia mapesa machafu CCm kuingiza madarakani, kwa vile wameamua kuwageuka ndo maana wana anzisha kodi za kinyonyaji kama ile ya simu nk.
 
Safi sana, nilimsikia Mheshimiwa Rais katika interview yake na ICCF kuwa kishaamuwa kuliingiza Jeshi la Wananchi kushughulikia hii mambo, naona kazi imeanza:

Ni ku'misuse' jeshi la wananchi...kwahiyo askari wa wanyama pori wamefutwa kazi au wamepewa likizo bila malipo.
Ebu fikiria vizuri...hivi majuzi alikamatwa askari wa jeshi la wananchi na pembe za ndovu...je. hapa mnataka kutupa picha gani...!?
 
ni ku'misuse' jeshi la wananchi...kwahiyo askari wa wanyama pori wamefutwa kazi au wamepewa likizo bila malipo.
Ebu fikiria vizuri...hivi majuzi alikamatwa askari wa jeshi la wananchi na pembe za ndovu...je. Hapa mnataka kutupa picha gani...!?

hata mwanamke anaweza kukusaliti,sio lazima wote wawe waadilifu mkuu,lakini kwa mbinga ni ambayo toka kitambo inafatiliwa,sio hilo tu,na wale wa wazee wa kukaa road na smg natumai kama mwenyeji wa mbinga umesikia tetesi hizi
 
Back
Top Bottom