sandpiper
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 209
- 186
Watu wengi wanapendelea watoto wao waje kufanya kazi ambazo wao wanafanya . Lakini miaka inayokuja baadhi ya ajira zitakuwa hazipo tena badala zitafanywa na maroboti au mashine. Hizi ni baadhi ya ajira ambazo ziko mbioni kutoweka:
Bank teller
Mara nyingi ukienda benki kuweka au kutoa pesa unahudumiwa na mtu , ni miaka michache ijayo mashine zitafanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa weledi. Pia watakuwa kwenye counter zao wakati wote.
Dreva tax
Uber imeweka kazi ya dreva taxi hati lakini ni muda tu pale ambapo gari zisizohitaji dreva kuanza kutumika . Nchi kama Singapore zimeshaanza majaribio na ujenzi wa barabara kwa ajili hiyo.
Wauza magazeti
Hawa ni wa kuwahesabia siku , polepole kwa sasa wanaanza kupotea
Wakulima.
Kazi ngumu zitaweza kufanywa na mashine na maroboti yenye kutumia akili bandia kwa ufanisi
Actor wa movies
Hawa bado kidogo actors wa kutengeneza na computer wameonyesha mafanikio makubwa . Mfano Itakuwa hata kuona movie mpya ya marehemu Kanumba ikawa si kitu cha ajabu .Mfano Carrier Fisher alivyoonekana kama Leia kwenye STAR WAR.
Mashine na Maroboti yataweza kufanya kazi kwa ufanisi basi inaweza ikawa sio kitu kibaya . Ina maana maendeleo yatakuja kwa haraka huku muda wa kazi ukiwa mchache
Bank teller
Mara nyingi ukienda benki kuweka au kutoa pesa unahudumiwa na mtu , ni miaka michache ijayo mashine zitafanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa weledi. Pia watakuwa kwenye counter zao wakati wote.
Dreva tax
Uber imeweka kazi ya dreva taxi hati lakini ni muda tu pale ambapo gari zisizohitaji dreva kuanza kutumika . Nchi kama Singapore zimeshaanza majaribio na ujenzi wa barabara kwa ajili hiyo.
Wauza magazeti
Hawa ni wa kuwahesabia siku , polepole kwa sasa wanaanza kupotea
Wakulima.
Kazi ngumu zitaweza kufanywa na mashine na maroboti yenye kutumia akili bandia kwa ufanisi
Actor wa movies
Hawa bado kidogo actors wa kutengeneza na computer wameonyesha mafanikio makubwa . Mfano Itakuwa hata kuona movie mpya ya marehemu Kanumba ikawa si kitu cha ajabu .Mfano Carrier Fisher alivyoonekana kama Leia kwenye STAR WAR.
Mashine na Maroboti yataweza kufanya kazi kwa ufanisi basi inaweza ikawa sio kitu kibaya . Ina maana maendeleo yatakuja kwa haraka huku muda wa kazi ukiwa mchache