Ajira za ualimu 2017

Kazi kweli kweli. Nalima tu sku hizi na maisha yanasonga had 2020 ntakua nimenuna Tractor tu.
 
Yule jamaa, sasa ametenga billion 4 kupeleka maji CHATO, mabilion kujenga airport CHATO, bado anataka Boeing ya abiria 650 sijui atawatoa wapi

Hakuna ajira labda hiyo 2019 kwa aibu ya kukosa kura na hamtapata wote maana mmekuwa wengi sana wataajiriwa wale 2014 na WACHACHE wa wa 2015, wanaobaki Mtaunga reli hadi 2024
 
Serikali ya CCM inawapa pole kwa likizo ndefu iliyowapa...inapenda kuwahakikishia wananchi.wake kuwa itaajili walimu 30,000 ifikapo 2020...endeleeni kuwa wavumilivu
.ndo huwa majibu yao..hayamake sense
Sasa iajili hao 30,000 hao si ni intake moja tu? mpaka 2020 kutakua na intake ngapi ambazo watu wako mtaani?
 
Wabongo kwa kulalamika baba.
Achaneni UNDAZI Nyie. Malalamiko sio hoja ndugu zangu. Fanyeni kazi ZINGINE. Sio lazima muajiriwe Serekalini……….
Serikali pia itoe tamko kwamba kwa sasa ualim sio fani ya kukimbilia maana watu wengi wanakimbilia ualim wakijua kwa ni rahisi kuajiriwa
 
Kama hamkukosea mbona mnalialia kila Mara? Tatzo ni kuwa tunachagua viongoz kwa kutmia vyama, chama kilekile toka awamu 1,2,3,4 haf 5 tena mnachagua hichohcho je mnatagemea mabadliko? Hakna jipya zaidi ya uongoz wa chuki na visasi!
Uwanja wa CCM refa wa CCM camisaa wa CCM Ligi ya CCM we unadhani utashinda wapi!!!
 
Kama kweli Kairuki alikuwa anamaanisha kesho 25/02/2017 ndo tarehe rasmi ya kutangaza ajira.
 
Kama kweli Kairuki alikuwa anamaanisha kesho 25/02/2017 ndo tarehe rasmi ya kutangaza ajira.
Ww jamaa na walimu wengine dizaini yako mna moyo, bado una imani na hii serikali tu, kama mkuu aliweza kudanganya sembuse huyo mama.
 
mwalimu hujaariwa umeanza kelele subiri kupanga ni kuchagua,tumechagua ndege elimu baadae
 
DAH poleni sana vijana wote ambao mnasubiri ajira za serikali kutokana na matumaini za hap na pale zinazotolewa na serikali. Muhimu muwe tayari na plan B kwa sababu kila dalili inaonyesha serikali hii haina uwezo wa kuajiri waajiri wapya isipokuwa porojo tu.
 
Jiajiri na ufanye kazi kweli kweli. Usitegemee ajira serikalini zina wenyewe na wameshapeana wizara tayari, wew na bibi yako nenda kalime shamba (sorry kama nimekukosea...!)
wamepeana wakina nani? funguka Mkuu na uweke ushahidi Wa kutosha, otherwise kaeni kimya kama hamjui chochote.
 
Back
Top Bottom