Ajira za ualimu 2017

Differential Equations

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
204
200
Ndg zangu suala la ajira za ualimu limekuwa kitendawili kigumu kisicho na majibu

Mwezi wa December malalamiko yalipozidi sana kwenye media ndipo wizara husika ikawataka wahitimu wa 2015 watume vyeti kwa ajili ya uhakiki kumbe hii nayo ilikuwa ni kupunguza maneno ya media

Kwa sasa suala hili cha ajabu kabisa hakuna hata kiongozi mmoja mwenye uchungu nalo

HOJA YANGU KWENU

1: Hiki tunachofanyiwa na watawala hatima yake ni nn??

2: Je ni kweli kwamba ajira mpaka 2019 mwaka mmoja kabla ya ballot box??

Mwenye uelewa na hoja zangu ajitokeze najua vigogo wapo wengi humu.
 
Serikali ya CCM inawapa pole kwa likizo ndefu iliyowapa...inapenda kuwahakikishia wananchi.wake kuwa itaajili walimu 30,000 ifikapo 2020...endeleeni kuwa wavumilivu
.ndo huwa majibu yao..hayamake sense
 
Ndg zangu suala la ajira za ualimu limekuwa kitendawili kigumu kisicho na majibu

Mwezi wa December malalamiko yalipozidi sana kwenye media ndipo wizara husika ikawataka wahitimu wa 2015 watume vyeti kwa ajili ya uhakiki kumbe hii nayo ilikuwa ni kupunguza maneno ya media

Kwa sasa suala hili cha ajabu kabisa hakuna hata kiongozi mmoja mwenye uchungu nalo

HOJA YANGU KWENU

1: Hiki tunachofanyiwa na watawala hatima yake ni nn??

2: Je ni kweli kwamba ajira mpaka 2019 mwaka mmoja kabla ya ballot box??

Mwenye uelewa na hoja zangu ajitokeze najua vigogo wapo wengi humu.
Hizo namba moja na namba mbili ni hoja au maswali?
 
Tatizo kwa upande mwengine hata chama cha walimu tunaweza pia kuwaraumu kwani wao hususani viongozi wao wanaweza kuonana na mkuu wakamshauri na si wanakimbilia kwenye media kutangaza idadi ya walimu wanaoitajika, mi nashauri viongozi wa chama cha walimu waombe kuonana na mkuu wakamshauri anaweza kuwaelewa, sema tatizo hiki chama hakiwapi kipaumbele hawa walimu watarajiwa wao wanaangalia tu hadi uajiriwe ndo wanakuona muhimu,
 
b1a363e37b86dd79572cd063c549d8b9.jpg
 
uchumi umebaki kwenye makaratasi uhalisia mambo yapo ICU.sasa ajira zitatoka vipi ?
 
Ndg yng utaendelea kusubir meli airport mpka lin????
Kuna madaktari waliohitimu na kusajiliwa lkn wamejikita kwny biashara ya mitumba na maisha yanasonga...
Ww mwalimu unaumuhimu kuliko hao madaktar???
Mbna wenzenu tulivyoona serikali haina muelekeo tumejiongeza kufanya mishe nyingne nyie mnasubir nn au bado unaiman na serikali hii..? Kama jibu lako ni ndio nakupa pole na endelea kusubir...
 
Kama hamkukosea mbona mnalialia kila Mara? Tatzo ni kuwa tunachagua viongoz kwa kutmia vyama, chama kilekile toka awamu 1,2,3,4 haf 5 tena mnachagua hichohcho je mnatagemea mabadliko? Hakna jipya zaidi ya uongoz wa chuki na visasi!
 
Jiajiri na ufanye kazi kweli kweli. Usitegemee ajira serikalini zina wenyewe na wameshapeana wizara tayari, wew na bibi yako nenda kalime shamba (sorry kama nimekukosea...!)
 
Back
Top Bottom