chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Ajira serikalini ni nzuri zaidi kuliko private
Kumbe mshahara laki sita.....
Kitu ambacho hakiwezekani kuingizwa kwenye pay rol ya mwezi march unless iwe kuripot ni april mosi
kuna mhusika kaniambia mwezi ujao kuripoti...so katikati ya mwez huu watatoa majina.....100%