Hohohohooo Taarifa niliyonayo mpaka sasa hivi walimu wanaofundisha kiswahili,kingereza na hesabu wameanza kupatiwa semina ktk halimashauri mbalimbali Mfano mimi mwenyewe ni mwalimu wa GK tayari mkuu wetu ameshatupa taaarifa ya semina ingawa ni private , hii ni kutokana na sera mpya ya elimu kukipa kiswahili nguvu ya kufundishia ktk ordinary level.
Watembeaaa kwa miguuu mpaka viatu vinaktk soli mlieee tu mwaka huuu heheeee.
Na kwa tetesi nasikiaaaa mkuu wangu anaongeleaa kuhusu kurudishwa kwa teaching alawans
Mtajutraaaaaaaaaaaaaa walimu tunaosubiri ajira mpya oyoooooooooioio