Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Kila mtu anasema lake humu habari kamili wakubwa watatujuza kwa kutoaa post hizo
 
da kitaa pagumu watupeleke ata kama usafiri wa mtumbwi tutaenda tu ualimu wito aisee wadau tujipe moyo watatoa tu jamani
 
da kitaa pagumu watupeleke ata kama usafiri wa mtumbwi tutaenda tu ualimu wito aisee wadau tujipe moyo watatoa tu jamani

Kama ni wito unalalamika nn mkuu.... Si ujitolee huko kwenu??? Kwa nn waalimu mnajishuahia hadhi hivyo???
 
chichimizi njooo, bahasha za kaki zimevamia hukuu...
 
Last edited by a moderator:
Mwezi wa tatu ndo huu, aajira sasa ni mda wowote kuanzia sasa.
 
Somo la Kiswahili sio rahisi sana msidharau walimu wa Somo mana mshahara mmoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom