Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Tutapiga mishe hadi tutarudi mjini na hapo ndipo watembea na bahasha za kaki mtakapotujua sisi nani.
 
Baba PINDA usemalo litimizwe huko Tamisemi na huko hazina, Ukomaliee post zetu zitoke walauuu mwezi wa tatu tarehe mbili na zisichelewe mpaka tarehe 15 kama zile za mwaka jana,kama unavyojua kitaa nipagumu sana.

Usemi wako wa MBEYA na IRINGA utimiee na MKUBWA WETU DR KAWABWA autilieee maaanani AMENI
 
Hii thread ni kiboko. Hivi mtoa mada mbona cjawahi muona akichangia. Updates zozote kutoka mbeya?

Tupeni mlio okota.
 
hii thread ni kiboko.....hivi mtoa mada mbona cjawahi muona akichangia.....updates zozote kutoka mbeya? tupeni mlio okota.

Ni kweli huwa sichangii kivile lakini huwa natembelea mara kwa mara kuangalia mapya waliyonayo walimu wenzangu.hivyo sio mbaya 2endelee kupashana kwa yanayojiri kupitia huu uzi.

Kumbuka huu uzi ni kwa walimu wote hususani wanaosubiri ajira za serikali kama mimi.
 
Ajira tarehe 2 march leo wakuu wa shule wanamaliza kikao chao na naibu wazir wa elimu Hivyo majina yatatolewa trh 2.

Kuripot tarehe 10.
 
Serikali inafanya vema kuchelewesha ajira za walimu.. Ili waalimu wawe na adabu kuwa.. Ukipangiwa kuleeee MKALAMBWISE uende
 
Ni kweli huwa sichangii kivile lakini huwa natembelea mara kwa mara kuangalia mapya waliyonayo walimu wenzangu.hivyo sio mbaya 2endelee kupashana kwa yanayojiri kupitia huu uzi.

Kumbuka huu uzi ni kwa walimu wote hususani wanaosubiri ajira za serikali kama mimi.

duh kumbe upo....hebu leta updates mkuu
 
mkuu kwn huko MKALAMBWISE wanaishi wadudu

Wanaishi watu lakin walimu hawapendi kufanya kaz vijijin sasa sjui wanataka akakae nani.. Ngoja waone maisha ya mtaa yalivyo magumu kwanza ili wakipangwa waende
 
walimu vuteni subira, vijana wangu wanaweka mambo sawa baadae nitatoa majina na kila mtu atapata kazi ila ni vijijini tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom