chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Man STIVA pinda atanielewa tu
Man STIVA pinda atanielewa tu
Hivi Una kiwango gani cha elimu?
Nna jiwe
Akikutajia afu iweje?
Pinda aahidi watu wa mbeya ajira kwa waalimu zaidi ya elfu 36 kutolewa hivi karibuni. Asema idadi ya sayansi itaongezeka ikilinganishwa na mwaka jana. Ktk ajira hizo wamo wa msingi, sekondari pamoja na vyuo vya ualimu.
Hawa viongozi huwa hawajielewi kabisa...
Akiwa iringa alisema 35 elfu Leo mbeya kaja na figure nyingine ....
Walituma waraka vyuoni kuwaeleza hawahitaji tena walimu Wa Sanaa ilhali mahitaji bado ni makubwa!!
Wameondoa priority ya mkopo kwa walimu Wa arts hapo hapo wanaleta Sera ya elimu ambayo itapanua wigo wa elimu ya sekondari ambapo zitajengwa mpaka ngazi ya msingi na mahitaji ya walimu yatakuwa makubwa zaidi ndipo unapoona uwezo Wa viongozi wetu ni mdogo...
Alichobugi pinda nikusema kuwa hiyo figure ni kwa walimu wa sec tu
Kasema kwaajili ya msingi...sekondari na vyuo vya ualimu...