Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
haziwez zikatoka next week....
if zitatoka march bc ni katikat ya mwez as usual ili mwezi wa nne mwanzon kuripot.
na hii ili kuingizwa kwny pay roll ya mwez april.
NOTE ajira zote huwa znatoka katikati ya mwezi

Ckulazimishi mkuu
 
Huyo jamaa ako wa Tamisemi alikuona boya msumbufu ili kukata mazoea akakupa jibu la kukuridhisha ila next week utasubiri sana hakuna kitu
 
huyu ndo anajibu sahihi, mwenye namba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa an Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Ndugu jumanne sagin.
 
Last edited by a moderator:
Ajiraaaaaa daaaaaah mimi nishachokaaa yani

chichimizi nimeskia pinda akikutaja leo...

eti yule jamaa anaulizia sana ajira za walimu anayejiita jina la mdudu sisimiz

Njoo MMU wenzako tunapunguza stress tunatafta na wachumba wa kula nao mshahara wa kwanza wa kutolea stress na mahangaiko..
 
Last edited by a moderator:
Wamefuta ajira mwaka huu hakuna pesa kipaumbele ni kwenye uchaguzi,kura ya maoni na daftari la kudumu la wapiga kura ninyi ajira msahau mpaka mwakani
 
Utakufa na njaa mwalimu wa arts na hakuna ajira kwa type yako ya ualimu kwanza una uharo wa mdomo na hauna uwezo wa kufundisha
 
kichaa sio lazima avae hakuna....pinda kasema walimu wataajiriwa zaidi ya elfu 35 kwa mwaka huu...na sayansi walioomba kazi serikalini ni 6430....sasa hapo si akili ya mchwa tu inahitajika kufahamu walimu wa arts wataajiriwa au laa....anayway bahasha za kaki najua zimekulevya...na utazunguka sana mpk ukome na jeuri ikuishe ndo utapata kazi
 
wadau mkae chonjo kwa updates maana pinda yupo mbeya...na atafanya kazi zikwemo kilimo na elimu....so lazima kutakua na updates mpya....na pia jana naibu waziri alikua na semina na wakuu wa shule za sekondari kuhusu walimu wapya kupokelewa wanapokuja kuanza kazi mashuleni....so kuna kitu kizuri kinanukia....maana dalili ya mvua ni mawingu...na mawingu ndo kama haya...HALA!!!!!
 
Post mpya, demu mpya, mazingira mapya na magonjwa mapya. Epuka dhambi ya uzinzi na ahadi za mtu mtakaepangiwa post moja, maafisa utumishi na wakuu wa shule waroho kwa watoto wa kike. Mtapewa nyumba moja muishi wa intake mpya. Ogopa sana , kila mtu ameacha mke/mume au mchumba huko alikotoka.
 
Post mpya, demu mpya, mazingira mapya na magonjwa mapya. Epuka dhambi ya uzinzi na ahadi za mtu mtakaepangiwa post moja, maafisa utumishi na wakuu wa shule waroho kwa watoto wa kike. Mtapewa nyumba moja muishi wa intake mpya. Ogopa sana , kila mtu ameacha mke/mume au mchumba huko alikotoka.

Noted mkuu..!! Asante sana kwa ushauri
 
Daaaah yani PINDA kama kasikia kilio changu daaah maana siku hiyo ya POST kutoka nitasali sana kabla sijaona halimashauri niliyopangwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom