Kutokana serikali kuwa na mambo mengi kwa mwaka huu, na jinsi serikali ilivo na utaratbu wa kusogeza mwezi mmoja mbele kila mwaka zoezi la kuajiri walm, kunauwezekano Mkubwa ajira zkatoka mwezi wa 5 trh 1,
Ukianza kufatilia miaka ya nyma ajira zlikua znatoka mwez wa 7 mwaka huohuo wa kumalza mafunzo, mwaka 2010 waliajiri mwaka huohuo mwezi 10 trh 1, but kuanzia 2011 waliajir mwz wa 1, mwaka 2012 waliajir mwz wa pili, mwk 2013 mwz wa 3 trh 1, mwaka 2014 ambao na mm nlikuwa miongoni tulianza rasmi ajira mwez wa 4 trh 1, mwaka huu je?