Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Walimu hawa ndio wanaongoza kwa kuiponda serikali ila kwenye videal vidogo vya sensa na uchaguzi ndio walilia....hope na nyie wa kuajiriwa mwaka huu mtakuwa kama wenzenu
 
Mwenye tetesi zozote kuhusu ajira za walimu atuambie maana vijana wanatusumbua sana mtaani huku
 
Serikali kuu inaona posts zenu jf lkn kwa kuwa amna kitu mwaka huu...inawalazimu nao kukaa kimya
 
wadau msitishike ajira zipo mwezi wanne post zinatoka wa tano tarehe moja kuripot
 
cha ajabu sms zimeanza kutembea ktk mitandao.....anyway ngoja niwaforwadie tamisemi kwa email ili wadeal na ww vzr
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom