Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Daaaaah yani wewe jamaaa umefanya vibaya sana about all pipo now ni simu na sms hooo umetupwa wapi mara wapi heeeee yaaani unastahili adhabu kali sana
 
Ajira zinatoka tarehe 1.3.2015 msiwe na wasiwasi wadau andaeni nauli ya kwenda halmashauri zenu mlizopangiwa
 
tayari nishawatumia sms na tayari tunamuangilia kwenye server zetu ili tumfahamu vzr huyu mtu.... si watu humu wote ni walimu....
 
pressure za nini ajira watano mkitaka muandamane hizo skendo me nna source ya kueleweka na watu wanajua wanaenda wilaya gani
 
huyo jamaa hiyo message kaedit walimu walioajiliwa 2013 vuten subira wadau na kuna uwezekano hata watao maliza vyuo wa sita wakaajiriwa mapema
 
yeeeesss sasa mambo mukideee.....waziri mkuu keshasema....

wapi wazee wa bahasha za kakiiiii???? walimu cc ni km depo ya polisi...na magereza
 
Jinsi nilivyofurahi nimeamuaaaa kuitupia tena kwakuwakera wale watembeaa na bahasha za kakiii pia na wale maafisa habari wa wizara ya elimu waliokuaa wanatoa taarifa za mara kwa mara kuwaa walimu wa sanaa hatutaajiriwaaaa

haya muniambieee walimu 35 elifu na zaidi watakua walimu wa sayansi peke yao?

walimu wenzangu wera weraaaaaaaaa tukaeee mkao wa kula sasa mkubwa kashatoa tamko rasmi
 
walimu juuuuuuuuu.....walimu mpooooooooo.....makofi kwa walimuuuuuuu.....

watembea na bahasha za kaki msijali hata katika kitabu fulani nilikisoma nikiwa advance kuna maneno yalikua yameandikwa ktk mkokoteni kwenye hicho kitabu yanasema "IPO SIKU"

haahhaahah.....nakumbuka tulichambua sana hii kauli na mwalimu wetu wa kiswahili nikisema hapa mtanivurumushia makonde bule...acha tu niache
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom