Eti wadau ajira mpaka mwezi wa sita....eti katangaza waziri,yana ukweli hayooo
source?
Eti wadau ajira mpaka mwezi wa sita....eti katangaza waziri,yana ukweli hayooo
source?
[QUOTEb=Menzies's mzee;11942335]Eti wadau ajira mpaka mwezi wa sita....eti katangaza waziri,yana ukweli hayooo
hizo hbr umeziskia wapi maana watu daily tunaingia ktk mitandao lkn hatuna hii hbr...na iweje kiongozi mkubwa azungumze pasipo watu kusikia alichokizungumza?
unataka akwambie ili uandamane?
April tena wataajir kwa Makundi.... Daaah hii Ndio bongo mimi mwalimu wa kiswahili cjui ntaajiriwa lini??? Source wilayan...
Oyooooo watembea na bahasha za kakiiii mlitutesa sana vyuoni na coz zenu za kibishooo eti mimi napiga BA in accountant haya sasa kafieee mbali na uhasibu wako walimu JUUUUUUUU
Mambo hadharani