DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
Mi naona ukishaajiriwa ni muhimu kuoa fasta na hasa ukimpata mwalimu mwenzako ili kusaidiana maisha
Ndugu, sijajua, ila maisha yetu tulio wengi tunategemewa Sana Na wazazi (extended family members-tumesomeshwa nao) so ukioa/kuolewa Mara baada ya kuajiriwa, utakuwa umetengeneza barrier flani hv, kiasi kwamba wanaweza wasifurahie kuajiriwa kwako.
Ila Ni mtizamo wangu Tu.