chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Tupe source
ajira marchi 16 siku ya jumatatu na kuripoti kazini ni kuanzia april 6. Hizi taarifa zimetoka jikoni kwani wizara ili kuwa unasubiri kibali kutoka sekretarieti ya ajira kwa watumishi kwa umma na sasa mambo yapo poa!
Majina yalikuwa yaachiwe mwezi huu lkn wakulu wameona haitakuwa na tija yeyote. Tulieni vijana hadi hiyo march.
Source: wewe amini tu hutaki sikushikii fimbo!
ajira marchi 16 siku ya jumatatu na kuripoti kazini ni kuanzia april 6. Hizi taarifa zimetoka jikoni kwani wizara ili kuwa unasubiri kibali kutoka sekretarieti ya ajira kwa watumishi kwa umma na sasa mambo yapo poa!
Majina yalikuwa yaachiwe mwezi huu lkn wakulu wameona haitakuwa na tija yeyote. Tulieni vijana hadi hiyo march.
Source: wewe amini tu hutaki sikushikii fimbo!
na vp kuhusu kuajiriwa kwaa walimu wa arts? wataajiriwa wote km miaka ya nyuma ama kutakua na mabadiliko ya kutoajiri walimu wa arts na kuajiri walimu wa sayansi pekee?
Na je washapanga ajira au bado hawajapanga?
lusungo kwa hiyo tuwe na uhakika wa ajira?? dah kuna ndugu yangu yy nfo kwanza yupo mwaka wa pili education...sijui itakuaje huko mbele
daah chapa moyo konde then be flexible madogo, ztatoka2, mwenye interest anichek kuptia 0764316626 (tcha poul
namba nmetoa kaka so nahs unageuza klchoandikwa kichwa chin miguu juu
daah chapa moyo konde then be flexible madogo, ztatoka2, mwenye interest anichek kuptia 0764316626 (tcha poul
hii nchi sijui vp...mtandao wa wizara ya elimu mpaka leo haufunguki eti unafanyiwa marekebisho.....marekebisho gani muda mrefu namna hii utafikiri wanatengeneza meli