Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Hiyo hapo wadau
 

Attachments

  • 1422887753292.jpg
    1422887753292.jpg
    24.4 KB · Views: 287
Sisi walimu wa arts tunasubiri serikali ikinukishe rasmi kwamba haitatuajiri tutafute mbinu mbadala za kujikwamua kwenye hii hali ngumu ya maisha
 
hivi kwnn watu wa tamisemi wasije wakatupa info kiwizi wizi....maana tumechoka kukaa mtaani.....

Ukiona hivyo ujue kuna tatizo ndo maana wanakahawia kutoa tamko rasmi. Na wasipotoa hizo ajira maandamano hayataepukika.
 
wanaangalia namba ya mbele kwenye mwaka...teh teh...

mfano, 2011 waliajiriwa january

2012 waliajiriwa feb....
.
2013 waliajiriwa march

2014 waliajiriwa april

2015 labda wataajiriwa may.....
 
Politics pia zinahusika may be wanasubiria kampeni zikianza wamwage hizo ajira
 
Hivi wanaweza kuwapiga chini wanafunzi waliomaliza masomo ya ualimu ktk kipindi chenye tension kubwa ya kisiasa kama hiki?.....dah wakifanya hivyo watakua wamejimaliza maana sisi familia inatupiga jicho....

Na pia km muheshimiwa alivyosema ktk maadhimisho ya miaka 38 ua ccm kua unaweza kumshawishi na mpenzi wako kua upande wako...so nafikiri wasipoajiri watapoteza kura nyng sana
 
Kama mnafatilia bunge kwa makini mtaona jinsi gani hazina ilvokuwa haina pesa, mawazir wanasema kila mradi pesa ndo zinatafutwa, mtaajiriwa lkn kadhia hii hamtoisahau kamwe
 
Suala la kutokuwepo ajira sio sababu ya wao kukosa ushindi, mbona kuna kada nying tu zaid ya ualimu hawajiri na bado wanashinda. Hivi alvosema ushind wa kishindo hakujua km watu hawana ajira. Walimu subirini kilele chenu very soon tatizo pesa.
 
kada ya ualimu inaajiri watu wengi sana....na wasipo ajiri walimu unafjkiria population ya wasioajiriwa itakua ktk level gani?? it will be catastrophy
 
ajira mwezi wa pili wata waajir wote ila kama una matatizo kwa mfano uli cary n.k uwez ajiriwa kwa kipind hiko

taarifa zilizopo ni kuwa wataajiriwa waalimu wa sayansi na english tu,hii ni official
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom