Ajira Utumishi - Recruitment portal

samahani wakuu, kabla sijakushawishi kuku wa kienyeji ugombe naomba unijuze,unashauri haya yote kwa utashi binafsi au kuwa mmoja wa wataalamu wa hii system?
 
Majaribio yashaisha sa HV wamesema ni rasimi

In case majaribio yashaisha bas wahanga tutakuwa weng kweli...
Maana chuo hakipo kwenye orodha unakiandika kwenye other na course baadae inakuletea course nyingine kabisaaaa ambayo hujaiandika, nilikomaa wee ikashindikana
Ikabid nitume hivo hivo...

Ila ina maana utumishi hawakijui CHUO CHA MIPANGO DODOMA, au kuongezeana stress tu.. chuo cha serikal cjawapenda tena cha kitambo sana.
 
Majina yametoka ndugu zangu, tembelea website yao.

Kwa wale walioitwa waje kutoa ushuhuda hapa, ni kweli waliona neno First interview na wameitwa sasa.

Naombeni munishawishi kugombea, mtafurahi wenyewe nikipata madaraka.

Mimi wenu,
Kuku wa kienyeji.
 
Majina yametoka ndugu zangu, tembelea website yao.

Kwa wale walioitwa waje kutoa ushuhuda hapa, ni kweli waliona neno First interview na wameitwa sasa.

Naombeni munishawishi kugombea, mtafurahi wenyewe nikipata madaraka.

Mimi wenu,
Kuku wa kienyeji.

Niliwekewe hivyo lakini sijaitwa mkuuu.sijui nina mikosi gani mie.na nafasi nilioomba wameita MTU mmoja tu
 
Majina yametoka ndugu zangu, tembelea website yao.

Kwa wale walioitwa waje kutoa ushuhuda hapa, ni kweli waliona neno First interview na wameitwa sasa.

Naombeni munishawishi kugombea, mtafurahi wenyewe nikipata madaraka.

Mimi wenu,
Kuku wa kienyeji.

Kuku wa kienyeji mimi nliona hilo neno first interview kwenye application yangu na kweli nimeitwa kwenye huo usaili
 
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja.

Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ???

Bila shaka jibu lako ni ndio. Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ??

Ingia kwenye akaunti yako, click My applications...Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari...Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview -HONGERA SANA

Mimi application status zote zina FIRST INTERVIEW status, lakini sijaitwa hata kazi moja.
 
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja.

Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ???

Bila shaka jibu lako ni ndio. Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ??

Ingia kwenye akaunti yako, click My applications...Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari...Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview -HONGERA SANA

Kaka inaonekana ww n mzoef na hii portal....iv kwann vyuo vya serikal kama mipango IRDP hakipo na hata course zake hazitambulik???tuanzie hapo kwanza maana nmeona umesema portal ishakamilika
 
Kwahyo wote wanaoandikiwa 1st interview wataitwa? Mmh me mbna zote nlizoapply nmeandikiwa 1st interview na nyngne nliapply kujaribu tuu sina hata qualifications ila meandikiwa 1st interview...Is it kweli hilo neno linarefer kuitwa kwa interview?
Mkuu hata mimi nimekuta zote nilizo apply nimeandikiwa First Interview ila nimecheki majina hakuna... mfano hawajaweka applicants wa Tanzania Tree Seed Agency....sasa sijui inakuaje? au watatoa baadaye tuendelee kusubiri mkuu wangu au tumuite kuku wa kienyeji atusaidie hapa...
 
Last edited by a moderator:
Secratarty wanazingua.sana haiwezekani nafasi 5 kuita watu 1000 hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali za wananchi tena masikini wasiokua hata na kipato ni wizi na ufisadi mtupu
 
Mkuu hata mimi nimekuta zote nilizo apply nimeandikiwa First Interview ila nimecheki majina hakuna... mfano hawajaweka applicants wa Tanzania Tree Seed Agency....sasa sijui inakuaje? au watatoa baadaye tuendelee kusubiri mkuu wangu au tumuite kuku wa kienyeji atusaidie hapa...

Mkuu kama watu wa kada yako hawajaitwa, hupaswi kuhofia. Cha muhimu ni kuomba mungu yakitoka yatoke na jina lako
 
Last edited by a moderator:
Secratarty wanazingua.sana haiwezekani nafasi 5 kuita watu 1000 hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali za wananchi tena masikini wasiokua hata na kipato ni wizi na ufisadi mtupu

Kila mwenye sifa ana haki ya kuitwa…Usikate tamaa yawezekana kazi ni ya kwako. Attend interview kama kawaida usiache kwenda
 
Kaka inaonekana ww n mzoef na hii portal....iv kwann vyuo vya serikal kama mipango IRDP hakipo na hata course zake hazitambulik???tuanzie hapo kwanza maana nmeona umesema portal ishakamilika

Kwanza ya yote mkuu, mimi sijasema imekamilika(soma tena nilichopost).

Pili, nakushauri utume deficiencies zako sehemu husika. Zitakuwa na mchango kubwa sana.
Kila siku zinavozidi kwenda ndivyo watakavyoiboresha.

There is no success in overnight
 
Niliwekewe hivyo lakini sijaitwa mkuuu.sijui nina mikosi gani mie.na nafasi nilioomba wameita MTU mmoja tu


Msaada plzz mbona kipengele cha training na work experience najaza zote nikitaka kusave haijisave nifanyeje? Ama nakosea nini? Maana mpka sasa nina 49% tu sijui hizo sabini naFikisha je?

Mkuu ulikuwa unaangaika na kuapply juzi tu hapo tarehe 14 APRIL 2015.……How possible uitwe kwwny majina haya yaliotoka juzi ??
 
Back
Top Bottom