Ajira Utumishi - Recruitment portal

Ajira Utumishi - Recruitment portal

wee vipi..! mbona ulishajibiwa, umeambiwa vyote uvicombine into one pdf file..

MUNDU MKONGWE.

tumia hii website kuko-combine online. Hamna haja ya kwenda kupoteza hela kuscan again
http://smallpdf.com/merge-pdf
 
katto04;

Pindi tu unapomaliza kuapply kazi moja, viambatanisho vinakuwa vimeshatumwa kwao. Kwaiyo unapotaka kuapply nyingine, una-DELETE ambavyo havihusiki and then una-ATTACH vinavyohusika, kisha una-press Apply for a job.

Ahsante
Munishawishi kugombea
 
Last edited by a moderator:
vipi kama nataka kudelete akaunti/profile yangu nafanyaje?
 
Habar za wakati huu ndugu wana jf

Msaada kwenye tuta...

kwenye upande wa other attachments, mfano ulishawahi kufanya appplications, pale utakuta barua ambayo ushawahi kuattach na bado ujaitwa kwenye interview, je unapoitaji kufanya application kwa kazi zingne zilizotangazwa unadelete ile ya kwanza na unaupolad application nyingne kwa kazi zilizotangazwa au unweza kuiacha then ukaatach nyingne..???
 
Inatakiwa ifike asilimia ngapi ili mtu uweze kuapply?
 
oooh vizuri, ndio naona hiyo ila hawaweki tarehe ndio ikawai inanpa maswali ila now hureee, angalau interview...system hii ni rahisi sana kwanza hazikupiti af hamna tena gharama za hapa pale kila mara mabahasha....
 
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja.

Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ???

Bila shaka jibu lako ni ndio. Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ??

Ingia kwenye akaunti yako, click My applications...Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari...Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview -HONGERA SANA

Mkuu,nliwahi kufanya application na nimelogin nkaona First Interview tar 25/04/2015 lakini sijaona popote panapoelekeza ni wapi huo usaili wa awali utafanyika.
Msaada tafadhari.,niko mkoani itabidi nifanye safari ijumaa.
 
Mkuu,nliwahi kufanya application na nimelogin nkaona First Interview tar 25/04/2015 lakini sijaona popote panapoelekeza ni wapi huo usaili wa awali utafanyika.
Msaada tafadhari.,niko mkoani itabidi nifanye safari ijumaa.

Chonde chonde paka watangaze majina kwenye website yao. Hile ni Application status notification
 
Back
Top Bottom