rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,163
- 20,095
Watanganyika mtaendelea kuteseka tayari shirika la POSTA limetangaza kutenga Asilimia 25 ya AJIRA zake Kwa wazanzibar
Kwanini 25% na sio 50% au 75%?Watanganyika mtaendelea kuteseka tayari shirika la POSTA limetangaza kutenga Asilimia 25 ya AJIRA zake Kwa wazanzibar
Watanganyika mtaendelea kuteseka tayari shirika la POSTA limetangaza kutenga Asilimia 25 ya AJIRA zake Kwa wazanzibar
Kabisa.Mkuu WaTanganyika hawana habari na suala muhimu kama hili wapo busy na masuala ya Simba na Yanga.Utasikia Mayele mara sijui Manara kaonewa yaani ni upumbavu juu ya upumbavu.
Wengine wamebwagwa huko wako safarini kwenda mpirani na aliyekufa ni yule bibi wa yanga connection.Kabisa.
Yaani kwao Yanga na Simba ndo kila kitu
Watanzania tunapenda sana kufurahisha moyo badala ya kupenda stress. Hivyo mambo ya maan kwa kuwa huzingua watu huyapotezeaWengine wamebwagwa huko wako safarini kwenda mpirani na aliyekufa ni yule bibi wa yanga connection.
Utafkiri Arusha hamna washabiki
kwani kura zina matter tena nchii kweli? au umedhani hapa ni kenya /zambia/ghana?Hakuna shida. Baada ya 2025, tutawarejesha wote nchini kwao.
kabisa kimyakimya anaiumiza tanganyika kwa makusudi kabisa inaoenakana ana enjoy sana maumivu ya wabaraHuyu bibi ni mbinafsi kuliko mwendazake
CHAKO CHANGU CHANGU CHANGU....unaijua hii🤣Watanganyika mtaendelea kuteseka tayari shirika la POSTA limetangaza kutenga Asilimia 25 ya AJIRA zake Kwa wazanzibar