Ajira mpya za ualimu 2016/17 mpaka lini?

Ajira mpya za ualimu 2016/17 mpaka lini?

Usihofu zitatoka tu mvumilivu hula mbivu na puuzia comment za watu wanaokatisha wenzao tamaa muda ukifika zitatoka tu
We jamaa unasaikolojia ya kuzaliwa sio mama wengine wanao ikeshea.. Kati ya wote wewe nimekupata uzuri sanaa. Nashukuru sana
 
Kabisa, hata mimi ni mhanga nimemaliza mwaka huu, nasikia tutaajiriwa wote, lakini wapo kimya sana. Hebu waseme ni lini wanatuajiri!? Kama hazipo napo waseme tu.
Mkuu matamko yatolewayo kwa sasa ni kuhusu kuwasilens wapinzani na kuhusu ajiraaaaaaa bado serikali haijanunua periscope ili kuchuja wahitimu hewa
 
ujinga mtupu!jiajiri ww acha kulialia hovyo
 
Habari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa uzur jamani.
Thank you
1471666317182.jpg
1471666326967.jpg
 
.....Kilimo kilimo kilimo kilimo kilimo......SUBIRI muda Ajira zitatolewa.
 
Serikali hawana fedhali ya kuajiri fedha wamepeleka kwenye madawati na ndo maana hata watumishi wake wamenyimwa hata haki ya kupanda daraja,tutaisoma namba!
 
kwan madawati yametengenezwa kwa bajet ya serkal dah wat wengine bhanna wanafrahisha kwel, kama MTU unakua huna uhakika wa jambo its better you keep kimya
 
Kairuki katangaza Leo uhakiki haujaisha,naona hadi mwakani,Dah inabidi walimu tarajali muishi kwa matumaini
 
Back
Top Bottom