Kabisa, hata mimi ni mhanga nimemaliza mwaka huu, nasikia tutaajiriwa wote, lakini wapo kimya sana. Hebu waseme ni lini wanatuajiri!? Kama hazipo napo waseme tu.Habari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa uzur jamani.
Thank you
Ndo maana ake maana hatuelew mpaka tuwe mapushaaKabisa, hata mimi ni mhanga nimemaliza mwaka huu, nasikia tutaajiriwa wote, lakini wapo kimya sana. Hebu waseme ni lini wanatuajiri!? Kama hazipo napo waseme tu.
Mpaka lini!?Serikali inabana matumizi...tulieni kidogo!
Hali imekuwa tete zaidi maana tunatakiwa kuhamia Dodoma on 'emergency case' na fungu halikuwepo hvyo daaa nadhani kuhusu ajira sasa mjiongeze wenyewe.......!Mpaka lini!?
Upo sahihi kwa mujibu wa mawazo yako. Hongera mkuuwamesahaau kuwa waliwasubilisha na kama unavyojua serikali yetu ni sahaulifu sana,so cha msingi apo ni kutoa tamko lenu au andamaneni
Programme yako ni BAED au BScED.Habari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa uzur jamani.
Thank you
Nyi mliomaliza mwaka jana tutawaajiri mwaka kesho waliomaliza mwaka huu tutawaajiri mwaka keshokutwa,bajeti yenu ya kuwaajiri tumeamua tuitumie kuhamia dodomaHabari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa uzur jamani.
Thank you