Mkuu kwa upande wa passport sio lazima kuattach maana hakuna mahala ambapo imewekwa kuattach iyo passport ila kama unaweza weka kwenye cv yako kwa juu pale.
Mkuu kwa upande wa passport sio lazima kuattach maana hakuna mahala ambapo imewekwa kuattach iyo passport ila kama unaweza weka kwenye cv yako kwa juu pale.
Hivi interview ya Tra watasimamia wenyewe kwenye mchakato wa kuajiri? Na je paper inaweza ikawaaje? Maana mie nilizoea paper za utumishi ila za wao kama wao zitakuwaje?
Hivi interview ya Tra watasimamia wenyewe kwenye mchakato wa kuajiri? Na je paper inaweza ikawaaje? Maana mie nilizoea paper za utumishi ila za wao kama wao zitakuwaje?
Kuna uwezekano hizo Post ulizo omba interview zitafanyika siku Moja , SS sijui utajigawaje mkuu, tupunguze papara, tuombe Mungu hichi kikombe kipite vizuri
Kuna uwezekano hizo Post ulizo omba interview zitafanyika siku Moja , SS sijui utajigawaje mkuu, tupunguze papara, tuombe Mungu hichi kikombe kipite vizuri