PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,075
- 1,862
Ni Jambo la kufurahisha, tayari baadhi ya watumishi serikalini,ajira mpya 2023 wamepata mishahara yao ndani ya mwezi wa sita baada ya kuripoti kwa wakati, japo wapo watumishi wengine wengi nao mchakato unaendelea. Kongole kwa serikali kwa kujua mazingira magumu ya watumishi wapya na kuwawaishia mshahara wao. Ifanyike hivyo hivyo kwa pesa ya kujikimu pia