Ajira mpya lini?

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
Leo ni zamu ya wizara ya kazi na ajira.nauliza ajira mpya za serikali zinatoka lini? Hasa kwa walimu waliomaliza vyuo vikuu karibuni.mana ilisemwa hela imeshapitishwa.na ilisemwa wangepangwa wakiwa vyuoni bado.sasa vijana wanaanza kwenda shule za private,halafu serikali itaanza kulia haina walimu.wajue inaumiza kijana kumaliza kazi akakaa miezi lukuki eti anasubiri ajira,wakati kuna private na zinalipa vizuri
 
Wizara ya Eimu ndiyo yenye dhamana ya kuajiri walimu na siyo Wizara ya Kazi na Ajira.
 
Sa we c uende huko private? Y ar u complaining whle u got the solution?
 
Hivi kazi za wizara hii ni nini? Mchango wake katika kuongeza ajira na kulinda haki za wafanyakazi?
 
hakuna mwenye kujua lini kwa hiyo? Iwe wizara hii au nyingine?hoja ni vijana kukaa bila kazi.
 
basi hii ni shwine state.elimu yetu ya kukariri utajiajiri vipi? Afadhali kuwa mbwa ulaya
 
Graduate kama ww u must have plan b rather than yelling to the ministry now and then....nilimalza last year july na august nlikua nshapata kaz bse nilifight tangu nikiwa secönd semester of the final year...
 
<br />
<br />
Wajiajiri, hakuna ajira....

huwa nashangaa sana watu wanaotamkaga maneno haya.huwa napata shida kuamini kama wameishi maisha ya mtanzania wa kawaida.unapomwambia kijana akajiajiri wakati ndio kwanza katoka chuoni unakua unategemea ajiajiri vipi?hana asset yeyote ya kuweka rehani kupata mkopo na serikali yake haijajenga mfumo wowote wa kumuwezesha kupata kinachohitajika kujiajiri then mnabaki kupayuka wajiajiri!!!!usifikirie wako sawa na wewe ambae tayari una account inahela!yeye ndio kwanza katoka chuoni.acheni hizi kauli za chooni eti wajiajiri.watajiajiri kwa ****** au?!!
 
<b>utajajirije wakati hali ni tata namna hii!!<br />
umeme,maji,mafuta ,</b>..........................
Hiyo hali tata yaweza kutumiwa kama fursa. Tujaribu kuwa na positive thinking. Tusiome hali iliyopo kama vikwazo bali fursa
 
tu tunahangaishana kwa BRN. sidhani kama Kikwete na wenzake wana mapenzi na nchi hii. uzalendo hakuna kabisa. Haiwezekani unataka matokeo katika makaratasi huku huajiri watu wa kusapoti hayo matokeo. Nadhani wanataka PRN(poor results now.
 
swala ya kujiajiri kutamka ni rahisi. Ebu niambie mwalimu akajiajiri wapi?haijalishi ni wa grade A diploma au digree. tel me one example wapi? Where do you get capital? stop kudanganyana hapa. Serikali imeivest pesa nyingi kusomesha walimu hasa wanaomaliza vyuo vya ualimu vya serikali lengo watimize mahitaji ya nchi. sasa if people can stay miezi lukuki imagine from february 2013 mpaka leo! nikupoteza rasirimali za nchi.
 
Graduate kama ww u must have plan b rather than yelling to the ministry now and then....nilimalza last year july na august nlikua nshapata kaz bse nilifight tangu nikiwa secönd semester of the final year...

Kila mtu anamalengo yake ndio maana anataka kufanya kazi serikalini, na mtu kuuliza hivi haina maana hana kazi huenda anayo ila hataki kuendeleza mkataba huko private maana hana mpango wa kufanya kazi/kuajiriwa private.
 
Leo ni zamu ya wizara ya kazi na ajira.nauliza ajira mpya za serikali zinatoka lini? Hasa kwa walimu waliomaliza vyuo vikuu karibuni.mana ilisemwa hela imeshapitishwa.na ilisemwa wangepangwa wakiwa vyuoni bado.sasa vijana wanaanza kwenda shule za private,halafu serikali itaanza kulia haina walimu.wajue inaumiza kijana kumaliza kazi akakaa miezi lukuki eti anasubiri ajira,wakati kuna private na zinalipa vizuri

we wasema miez lukuki.? kuna dada na kaka zako wapo miaka 4/5 mtaani na degree zao lukuki sasa hawapat hata hizo za private..kama umebahatika private nenda ukizisubiri hizo za kawambwa...
 
Back
Top Bottom