Kingpin76
Member
- Feb 22, 2020
- 18
- 12
Bado ila usku ntakamilsha na connection nn hela kaka changamotoNdio huwa hvy mkuu vp umekamilisha nini au unaconection😅
Bado ila usku ntakamilsha na connection nn hela kaka changamotoNdio huwa hvy mkuu vp umekamilisha nini au unaconection😅
Ata usik bado mtandao unasumbua mkuuBado ila usku ntakamilsha na connection nn hela kaka changamoto
Upo waswanuNipo dodoma tena jiran kabisa na Makao makuu ya jeshi la polisi lakin mtandao unasumbua sana kama sehem zingine
Hapana mkuu nipo Kisasa hapa , laliga
Kwani Head quoter zipo kisasa?Hapana mkuu nipo Kisasa hapa , laliga
Tumia akili mkuu, kuna sehem nimesema zipo kisasa? au umedandia gari kwa mbele
Mimi nilifanikiwa, siku ya pili tarehe 10 .Ndugu zangu kualie fanikiwa ku apply?
Ooh ukifanya mapemaMimi nilifanikiwa, siku ya pili tarehe 10 .
kaka sehem ganj huwa tuna attach medical form msaadaMimi nilifanikiwa, siku ya pili tarehe 10 .
Kwako portal inafunguka?kaka sehem ganj huwa tuna attach medical form msaada
Onganisha na baruakaka sehem ganj huwa tuna attach medical form msaada
Kwako portal inafunguka?
Onganisha na barua
Watu wanaaply balaa
Yes nilifanya siku ya pili tarehe 10Ooh ukifanya mapema
Kaka hamna hiyo sehem, vitu vya kuatach ni vyeti vya taaluma, barua ya maombi, CV kwa wataalam (Kuanzia cerificate mpaka degree holders ), passport size na Cheti cha jkt ambacho ni optional kwa mwenye nachokaka sehem ganj huwa tuna attach medical form msaada