Ajira Jeshi la polisi

Ajira Jeshi la polisi

Nipo dodoma tena jiran kabisa na Makao makuu ya jeshi la polisi lakin mtandao unasumbua sana kama sehem zingine
He tena 😅🙌 sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje😅😳😅
 
Watutafutie njia nyengine t kama Ile ya zamani ya kutuma kwenye email hii ya system inasumbiwa sana
 
Ivi kozi inakua mudq gani kwa mwenye idea maana ngoma ishakua mchanganyo wa mada ⚡⚡⚡
 
Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu
 
Back
Top Bottom